Waungwana, naomba mnijuze kama ni kweli kwamba fao hili limeondolewa kisheria? Na kama ni kweli limeondolewa, ni kwa manufaa ya nani, mwajiriwa au mfuko husika? Nini maoni yako kuhusu swala hili? Msimamo Wangu binafsi ni kwamba NAPINGA KWA NGUVU ZOTE KUONDOLEWA FAO HILI.
Hivi wewe unaelewa maana ya vita? Nyerere kapigana vita ngapi? niambie nchi iliyotoka vitani inatengamaa baada ya muda gani? ACHENI DHARAU. Tuache hayo, hivi huu umoja na toufati ndogo ya kipato baina ya watu wakti ule utaisemaje bila kumtaja NYERERE? Huwezi kumlinganisha NYERERE na yeyote kwa sasa.
Ninyi ccm mbona mmekomaa sana na huyu zzk? mchukueni. chama kinachoongoza serikali inayofaulisha watoto wasiojua A wala B, operation tokomeza etc, bado umeng'ang'ania tu, kisa ladha ya makombo ya ufisadi. Ubwege hautaisha Nchi hii!
Huyu zzk ni mtu hatari sana. Hata kama atakanusha yote lakini ushahidi wa kimazingira unamtia pingu. Washkaji wanaomwandalia mikutano ccm, wasemaji wake ccm. ccm=fisadizi=mumiani wa damu za wabongo=zzk; mchukueni sasa maana kama alikuwa hajakamilisha alichokitafuta keshachemka, hatapata. Ondoka...
Yeyote anayekomalia ukabila ndio walewale walionyweshwa sumu na ccm na sasa inawalevya wakisubiri kuvuta tu. Hivi hii CHADEMA iliyoenea kote TANZANIA bado unaiimbia wimbo wa ukabila? Ondoeni ulevi huu hatari mlionyweshwa na ccm, ni hatari kwa TAIFA. MAPINDUZI NI LAZIMA.
Kwa akili yako ilivyochakaa, unafikiri CHADEMA ni ya wachaga; na sasa waha mnataka kuiteka? Umeishiwa, CHADEMA ni ya Watanzania, TUMAINI la UKOMBOZI lililosalia Tanzania hii. Ndio tunakubali zzk ni level nyingine ya kusaliti mapinduzi na kuokota makombo ya ccm; Narudia tena, hata mfanye nini...
We bro ni mmoja wa wanao faidi matunda ya ufisadi, kaa kimya Mwache Lissu afanye kazi. Mfumo fisadi ulishadumaza uwezo wa wengi kufikiri hasa wanaofaidika nao. Ukombozi ni LAZIMA hata kama utachelewa.
Ndugu zangu wapenda mabadiliko, wana CHADEMA na wapinga ukoloni huu wa weusi wenzetu, nawaombeni kuwa watulivu katika kipindi hiki ambacho zitto amesababisha sokomoko ndani ya chama chetu, naamini ndicho alichotumwa kufunya. Amini usiamini wote wanaomtetea zitto na wenzake ni wana ccm.
Embu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.