Licha ya CCM kuwa madarakani kwa miaka zaidi ya 60 ndio chama kinachovuruga dhana ya utawala kushinda hata madikteta. Katibu mwenezi wa CCM hana mamalaka ya kumkaripia hata kibarua wa siku. Kazi yake ni ushawishi na uratibu wa wananchama wa chama chake.
Ni kosa kuwahoji watumishi wa serikali...
Bado unasoma makala za Mayalla? Dah mimi nilishampuuza zamani sana. Kabla ya utawala wa Magufuli Mayalla alikuwa mwandishi bora zaidi. Baadae siku Magufuli alimfanya nini, bora nicheze na wanangu kuliko kumsoma Mayalla.
Mheshimiwa nina taarifa mbili kama ifuatavyo:
Tarehe 24/10/2023 kati ya saa tatu na saa nne nilipita Moshi na gari binafsi nikitokea Arusha. Safari yangu hiyo ilikuwa ni safari ndefu iliyoanzia Tanga, Dar, Morogoro, Dodoma, Manyara, Arusha na siku hiyo nilipita Moshi katika safari ya Kurudi...
1. Ni kweli zaidi ya 90% ya mijadala ya Watanzania ni Simba na Yanga, sijui tulikosea wapi? Ni vigumu kujadili mambo ya kitaifa au ya kimataifa ambayo yanatuathiri moja kwa moja. Tunaathirika.
2. Kuhusu ukatili wa Israel wakati mwingine mimi nafikiri tatizo ni waarabu wenyewe ambao wameshindwa...
Haya uliyouasema machoni mwa CCM ni matusi mazito, kejeli, dharau, uzushi, uongo, uhaini, uvurugaji wa amani nk. Kaa chonjo unaweza bambikiwa kesi saa yoyote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.