Recent content by kamili

  1. kamili

    Changamoto zilizokuwa zimeibuliwa na wanainchi na kubebwa na upinzani kama agenda, zimetatuliwa sawa sawia na serikali ya awamu ya 6 ya CCM

    kwa macho yako zimetatuliwa, kwa wapenda maendeleo kero na shida zimeongezeka
  2. kamili

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    namshukuru sana na kumpongeza kwa kikokotoo kitakachotuuumiza uzeeni nguvu zetu zitakapoisha.
  3. kamili

    Ipi ni Nafasi sahihi ya Makatibu Wenezi wa CCM katika utawala wa nchi?

    Huyo sio paka ni mdoli, hakuna paka mdoli anayekamata panda. Ruksa kujifurahisha kwa kujilaghai, but kama mna shida kweli elekezeni sehemu sahihi.
  4. kamili

    Makonda: CHADEMA kuna mgawanyiko mkubwa. Lissu hawezi kuwa Rais wa Tanzania, anaishi nje na kuja nchini kimatukio

    Yaani hivi kuna mtu anayemsikiliza Makonda. Labda wanachama wa Ccm wachache wanaofikiria teuzi.
  5. kamili

    Ipi ni Nafasi sahihi ya Makatibu Wenezi wa CCM katika utawala wa nchi?

    Licha ya CCM kuwa madarakani kwa miaka zaidi ya 60 ndio chama kinachovuruga dhana ya utawala kushinda hata madikteta. Katibu mwenezi wa CCM hana mamalaka ya kumkaripia hata kibarua wa siku. Kazi yake ni ushawishi na uratibu wa wananchama wa chama chake. Ni kosa kuwahoji watumishi wa serikali...
  6. kamili

    Nimesema tujiandae kisaikolojia kuhusu miswada ya leo bungeni, Kila kitu anachagua Rais tume ya uchaguzi directly or indirectly

    Bado unasoma makala za Mayalla? Dah mimi nilishampuuza zamani sana. Kabla ya utawala wa Magufuli Mayalla alikuwa mwandishi bora zaidi. Baadae siku Magufuli alimfanya nini, bora nicheze na wanangu kuliko kumsoma Mayalla.
  7. kamili

    Barua ya wazi kwa Inspector General wa Polisi Tanzania

    Huko kujificha maana yake wanateleleza majukumu kinyume na sheria na taratibu zetu. Trafiki nayefanya kazi yake kihalali hawezi jificha
  8. kamili

    Barua ya wazi kwa Inspector General wa Polisi Tanzania

    polisi wetu (sina hakika kama ni wetu) wana mambo ya ajabu sana
  9. kamili

    Barua ya wazi kwa Inspector General wa Polisi Tanzania

    nitashukuru kama kweli huwa wanasikia
  10. kamili

    Barua ya wazi kwa Inspector General wa Polisi Tanzania

    Mheshimiwa nina taarifa mbili kama ifuatavyo: Tarehe 24/10/2023 kati ya saa tatu na saa nne nilipita Moshi na gari binafsi nikitokea Arusha. Safari yangu hiyo ilikuwa ni safari ndefu iliyoanzia Tanga, Dar, Morogoro, Dodoma, Manyara, Arusha na siku hiyo nilipita Moshi katika safari ya Kurudi...
  11. kamili

    Duru: Matukio na habari za Dunia

    1. Ni kweli zaidi ya 90% ya mijadala ya Watanzania ni Simba na Yanga, sijui tulikosea wapi? Ni vigumu kujadili mambo ya kitaifa au ya kimataifa ambayo yanatuathiri moja kwa moja. Tunaathirika. 2. Kuhusu ukatili wa Israel wakati mwingine mimi nafikiri tatizo ni waarabu wenyewe ambao wameshindwa...
  12. kamili

    Msimamizi wa uchaguzi wa Serikali za mitaa kitaifa amesema hamtashinda hata kijiji kimoja nyie mpo mpo tu

    Haya uliyouasema machoni mwa CCM ni matusi mazito, kejeli, dharau, uzushi, uongo, uhaini, uvurugaji wa amani nk. Kaa chonjo unaweza bambikiwa kesi saa yoyote.
  13. kamili

    Je, Rais Samia alitaka CHADEMA Wahudhurie huku Uongozi wao Ukiwa Locked-Up Arusha?

    Kwa CCM matusi ni kama: 1. Kudai katiba mpya 2. Kukataa ardhi yetu kuporwa 3. Kukataa kubambikiwa kesi 4. Kukataa kutekwa 5. Kukataa kikokotoo 6. Kukataa mauaji au kupigwa risasi 7. Kukataa kuporwa berue de change 9. Kukataa kuporwa kwa fedha za umma na ccm 10. Kutaka huduma nzuri za kijamii 11...
  14. kamili

    Rais Samia: Hatukutoa fursa ya Mikutano ya hadhara watu wakavunje sheria, wasimame kutukana, kukashifu na kuchambua dini za wengine

    Kwa CCM matusi ni kama: 1. Kudai katiba mpya 2. Kukataa ardhi yetu kuporwa 3. Kukataa kubambikiwa kesi 4. Kukataa kutekwa 5. Kukataa kikokotoo 6. Kukataa mauaji au kupigwa risasi 7. Kukataa kuporwa berue de change 9. Kukataa kuporwa kwa fedha za umma na ccm 10. Kutaka huduma nzuri za kijamii 11...
  15. kamili

    Nimesikiliza Hotuba ya Rais Samia kiukweli ameonesha Uvumilivu mkubwa. Magufuli asingevumilia matusi!

    Kwa CCM matusi ni kama: 1. Kudai katiba mpya 2. Kukataa ardhi yetu kuporwa 3. Kukataa kubambikiwa kesi 4. Kukataa kutekwa 5. Kukataa kikokotoo 6. Kukataa mauaji au kupigwa risasi 7. Kukataa kuporwa berue de change 9. Kukataa kuporwa kwa fedha za umma na ccm 10. Kutaka huduma nzuri za kijamii 11...
Back
Top Bottom