Mh. Pamoja na kwamba kuna usemi: don't judge book by its cover, uhalisia ni kwamba wakati mwingine umbile la nje la kitabu linaakisi yaliyo ndani. Kwa binadamu mavazi yako yanaakisi hadhi yako, kwa vitu kama magari, simu, nyumba nk. Umbo la nje linaakisi hali ya ubora iliyop ndani ya vitu...
Bila ya kuondoa kikokotoo kwa mara ya kwanza nitatumia haki yangu ya kikatiba kumkataa na chama chake. Hata kama yeye na chama chake CCM atachaguliwa na raia wote wa Tanzania moja ya hapana itakuwa ya kwangu.
Licha ya CCM kuwa madarakani kwa miaka zaidi ya 60 ndio chama kinachovuruga dhana ya utawala kushinda hata madikteta. Katibu mwenezi wa CCM hana mamalaka ya kumkaripia hata kibarua wa siku. Kazi yake ni ushawishi na uratibu wa wananchama wa chama chake.
Ni kosa kuwahoji watumishi wa serikali...
Bado unasoma makala za Mayalla? Dah mimi nilishampuuza zamani sana. Kabla ya utawala wa Magufuli Mayalla alikuwa mwandishi bora zaidi. Baadae siku Magufuli alimfanya nini, bora nicheze na wanangu kuliko kumsoma Mayalla.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.