huyu ndugai amewaagiza polisi wa bunge wamkamate kiongozi wa kambi ya upinzani kwanini wanamkata mbunge wa chadema ambaye si kiongozi wa kambi hiyo na kumsulubu?
Makamanda Msikonde hizo up dates tutawaletea kuanzia saa tisa mchana, na Mkutano wa Hadhara utafanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Matarawe Mjini Songea.Kata ya Matarawe inaongozwa na Diwani kutoka Magamba hivyo leo anapelekewa Kiama kutoka M4C kama mnavyojua Kamanda Mbowe ndie atakae...
Niko Songea Mjini Eneo la Lizaboni Gari limepita muda sio mrefu. Kata ya Lizaboni inaongozwa na Kamanda wa CDM Mh. Allanus Mwanja Murongo. Kazi inaenda vema Magamba tumbo Joto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.