Recent content by kameranzuriulinzimzuri

  1. kameranzuriulinzimzuri

    Inawezekana CAG alisema wabunge wa CCM pekee ndio dhaifu ila waupinzani sio dhaifu.....

    Zmn tukiwa shule wkt Wa Debate kuna mada zinajitokeza MF.Money is better than education au science is better than Arts subjects Wapo wapingaji (opposer) wapo wanaosupport, kila kundi linahoja zake na kunawakati anaweza akajitokeza jamaa akawa NEUTRAL. Lkn mwisho Wasiku wanashinda wale waliotoa...
  2. kameranzuriulinzimzuri

    Autocom Japan Inc- Niulize chochote kuhusu used car from Japan

    Starlet used bei gn Sent using Jamii Forums mobile app
  3. kameranzuriulinzimzuri

    Faida na Hasara alizopata Mjomba 'ake Omar kwa Kufuga Majini

    Acha wongo Sent using Jamii Forums mobile app
  4. kameranzuriulinzimzuri

    Je, watumishi wa umma watarajie nyongeza ya mishahara 2019/2020?

    Fnyeni mambo yenu huyu jamaa hamjamuelewa hadi Leo kweli?? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. kameranzuriulinzimzuri

    Fundi Fundi njoo inbox ntakulipa Pesa nzuri

    TBC,channel ten, Uhuru FM & magic. Fm BEI GN KUFUTA KTK KIG'AMUZI !!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  6. kameranzuriulinzimzuri

    CHADEMA 'Lowassa siyo fisadi', CCM 'Lowassa ni fisadi'

    Sisi na wenyewe zamu yao kututhibitishia kama n msafi au mchafi wana siasa wajinga sana Sent using Jamii Forums mobile app
  7. kameranzuriulinzimzuri

    Michango ya matibabu ya Ruge: Kuna mambo yanafikirisha kidogo...

    Google tu kk zpo zaidi ya 1000 zipo za hosipitali zote kubwa afrika, india, ulaya, USA nk watu walisha acha matumizi ya cash labda tungekuwa tunachangia Pesa ya kula na nauli Sent using Jamii Forums mobile app
  8. kameranzuriulinzimzuri

    Michango ya matibabu ya Ruge: Kuna mambo yanafikirisha kidogo...

    Hawa wanatuhamasisha kila siku watu kumiliki Bima ya Afya wao hawana inashangaza sana zipo baadhi ya bima unaweza kutibiwa sipitali yoyote kubwa Duniani. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. kameranzuriulinzimzuri

    Kuna baadhi ya kazi hapa duniani, Mbinguni utapasikia tu

    Umefika Kagera???au anapasikia tu lkn papo eti?? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. kameranzuriulinzimzuri

    Dola moja 2400! Magufuli aondoke aachie ngazi hana faida kwa watanzania

    Nani anaweza kuongoza nchi bila lawama ??yaani wananchi wote wakampenda sana, pale ikulu hata tungemuweka papa au sheikh MKUU lzma kunabaadhi ya watu wangelaamu tu. Raisi Wa nchi awezi kupatia kila kitu kama ujalizika na matendo yake subiri ktk uchaguzi ujao sio unasema aondoke tu ATAONDOKAJE...
  11. kameranzuriulinzimzuri

    Dereva aliyefariki katika ajali iliyoua watu 19 mkoani Songwe kushtakiwa

    Dreva kafa itakuwaje?? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. kameranzuriulinzimzuri

    Dereva aliyefariki katika ajali iliyoua watu 19 mkoani Songwe kushtakiwa

    Hivi akikutwa na hatia itakuwaje?? Msisahau adhabu ya Kuua in KUNYONGWA!! Je Marehemu atakuwa anahudhuria mahakamani kusikiliza kesi yake?? NB Mawakili mkamtetea marehemu asinyongwe!!! Dunia inamambo hii !!!!!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  13. kameranzuriulinzimzuri

    Kuna baadhi ya kazi hapa duniani, Mbinguni utapasikia tu

    Unajua kunamkoa unaitwa Songwe umewahi kufika?? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. kameranzuriulinzimzuri

    Kuna baadhi ya kazi hapa duniani, Mbinguni utapasikia tu

    Unawajuwa wanasheria Wa ULAYA vzr??wanatoa HUKUMU HADI SHETANI MWENYEWE ANALUKALUKA KWA MSHANGAO na kujiuliza hivi nimeishiwa nguvu au mungu kazalisha version mpya ya Shetani?? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom