Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na yule aliekuwa anamteteavmalkia ndovu aliefungwa miaka 15 unamuweka kundi gani? Nae amelipw pesa za meno ya tembo, nae ni haramu.Siasa
Wanadanganya ili wapate kura wakati wanajua haya mambo hayawezekani kuna watu wapo madarakani wamesahau walichowaambia wananchi+ wanasiasa wa Jamaika lakini sio wa hapa kwetu kabisa sijawahi ona wanasema uongo akiamama
Uanasheria
Mtu anaua/amefanya dhambi kubwa halafu unamtetea ili ulipwe + Wanasheria wa Marekani lakini wa hapa kwetu Kweli kabisa wanatetea vizuri wanyonge
Polisi
Wakikuona kituoni wanaona dili limekuja haijalishi umepeleka mashitaka au umeshitakiwa lakini ni Polisi wa Ulaya wa hapa kwetu wapo vizuri sana wanasimama pamoja wananchi vizuri sana ila Polisi ya Ng`ambo Big no
Kuna kazi duniani ukifanye lazima uenda Mbinguni
i.Udaktari
ii.Uchungaji/Ushekhe
iii.Ualimu
Zipo baadhi ya kazi ni PROBABILITY unaweza kwenda Mbinguni au JEHANAMU
i.Wafanyabiashara
ii.Wakulima
iii.Madreva
iv.Jeshini nk
Mimi kama Mzazi ntamshauli Mwanangu awe Mchungaji tu!
Wachungaji gani unawaongelea,Kakobe,mzee wa upako,Mwingira,Gwajima au wepi hao?Siasa
Wanadanganya ili wapate kura wakati wanajua haya mambo hayawezekani kuna watu wapo madarakani wamesahau walichowaambia wananchi+ wanasiasa wa Jamaika lakini sio wa hapa kwetu kabisa sijawahi ona wanasema uongo akiamama
Uanasheria
Mtu anaua/amefanya dhambi kubwa halafu unamtetea ili ulipwe + Wanasheria wa Marekani lakini wa hapa kwetu Kweli kabisa wanatetea vizuri wanyonge
Polisi
Wakikuona kituoni wanaona dili limekuja haijalishi umepeleka mashitaka au umeshitakiwa lakini ni Polisi wa Ulaya wa hapa kwetu wapo vizuri sana wanasimama pamoja wananchi vizuri sana ila Polisi ya Ng`ambo Big no
Kuna kazi duniani ukifanye lazima uenda Mbinguni
i.Udaktari
ii.Uchungaji/Ushekhe
iii.Ualimu
Zipo baadhi ya kazi ni PROBABILITY unaweza kwenda Mbinguni au JEHANAMU
i.Wafanyabiashara
ii.Wakulima
iii.Madreva
iv.Jeshini nk
Mimi kama Mzazi ntamshauli Mwanangu awe Mchungaji tu!
Mkuu kule Jamii intelligence kunawavuruga Sana watu.Labda angejiuliza swali fikirishi kuwa kwa nini Wanaintelligensia wetu walioko kule ni wabobeza katika kumchunguza Mungu na Biblia Takatifu kweli hii ndo Intelligence tunayoijua?.Lakini yote ni kheri maana Shetani Yuko kazini na yeye anaitumia teknolojia kwa nguvu.Mengine tukiyasoma humu tuyaache humu humu.Shukrani Mkuu kwa kumtambua huyo jamaa kuwa anahitaji Msaada maana andiko lake linaonyesha kuwa haya mambo kayaokota sehemu na hayajui vizuri.Jamaa hata kuandika shida,alafu anahoji vitu ambavyo vinaendana ns uwezo wake wa kuandika
hebu fikiria nafanya kosa kwa makusudi nikijua nitaomba radhi baadae na kusamehewa kisha najua baada ya kusamehewa nitafanya tena kosa kwa makusudi !! toba haipo hivyo dada.Dhambi zote sawa...nafikiri hakuna mwanadamu mkamilifu..
Hatupaswi kuhukumu maana ata sisi huwenda mbingu tutaisikia tu
Au ata ao wanaseria huwezi kujua labda wanatubu kila baada ya tukio, na Mungu wetu ni wa huruma husamehe kadri tunavyotubu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina wezekana kabisa kuandika kwangu mtihani hii lugha sijaisomea..Tatizo lenu wafia dini za watu weupe amjielewi mnajiona nyie ni waarabu na wazungu ndio maana mnalumbana sana mnakashifiana sana lakini uwezi kukuta sisi wa Afrika wenye yetu ya kale na jadi tuna wakashifu..Hata kuandika mtihani
Uhelewa-uelewa
Kweli halali yako kuhoji hivyo,inatakiwa uelimishwe kijana na ufunzwe kuandika.
Ina wezekana kabisa kuandika kwangu mtihani hii lugha sijaisomea..Tatizo lenu wafia dini za watu weupe amjielewi mnajiona nyie ni waarabu na wazungu ndio maana mnalumbana sana mnakashifiana sana lakini uwezi kukuta sisi wa Afrika wenye yetu ya kale na jadi tuna wakashifu..
hebu fikiria nafanya kosa kwa makusudi nikijua nitaomba radhi baadae na kusamehewa kisha najua baada ya kusamehewa nitafanya tena kosa kwa makusudi !! toba haipo hivyo dada.
Leo unajua kusoma humu ndani kwasababu ya hao walimu wako, jrbu hata kuwashukulu walikokutoa ndugu yanguAaahhh hapo kwenye ualimu hapana kwakweli hapana hawawezi kwenda mbinguni kabisa hasa yule mwalimu fadhili anachapa kama vile anapepeka ng'ombe kulamba chumvi mgongweni
Sent using Jamii Forums mobile app
Haijalishi wanafanya zambi kiasi gn lkn umewahi kufikilia kama wasingekuwepo tungekuwa tunaishi namna gani??? Yani kuua,kuiba nk sio zambiNaheshimu mawazo ila fahamu kila fani/kitu kina pande mbili yaani upande hasi na chanya ni swala la mhusika kuchagua anataka kua upande gani.
Hao viongozi wa dini unaowaona ni watakatifu amini nakwambia viongozi wa dini ni wanafiki sana yaani walio wengi nowdays ni washirikina, majizi & wachumia tumbo hutumia dini kama kichaka.
Duuuh yani tunatofautiana sana ktk mitazamo ya mambo. Leo upo Huru kuandika unachotaka ni kazi ya walimu wako lkn mwl ambaye alikutuma ulete mia ya andazi alimaliza mia yako siku nyingi, Leo unawatizama watu Wa afya ktk mtizamo hasi lkn labda WK mbili zilizopita walikushauri umeze amoxiline tatizo lako LA UTI liishe. Tuwatie moyo wezetu wanajitoa kwa ajiri ya sisi na kizazi chetuMbinguni wataenda wenye dhambi waliotubu na kuziacha.
Hao Waalim wanaolazimisha mtoto aende na mia na kumuuzia andazi pasipo ridhaa yake hawaendi
Hao Madaktari wachomoa mimba na kubambikizia dawa halafu wanakuelekeza dula la dawa la kwake Hawaendi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie mbinguni msahau MTU muda wote mnawaombea abilia wasahau chenjimakondakta ya daladala hujatu cover
Sent from my iPhone using JamiiForums
Watu Wa IDARA YA AFYA WOTE kwa ujumla wanafanya kazi ya KITUME mungu awabariki sana na awatie MOYO kuhusu jw msisahau kwamba anatoka kundi gnUuguzi/ Ukunga: unasaidia mama kujifungua kitoto kichanga, kinavuta pumzi yake ya kwanza unakiangalia, kinapanua mapafu yake kwa kuvuta hewa hii ya dunia iliyojaa uovu na wema na kisha kinalia ...unaiona furaha ya mama baada ya maumivu makali. Huwa nawaza hivi: kazi yangu imekamilika! haijalishi huyu mtoto atakuwa jambazi, padre, shekhe, nk
Japo Jiwe limegoma kujali maslahi yetu ila basi tu Mungu atatulipa
Unawajuwa wanasheria Wa ULAYA vzr??wanatoa HUKUMU HADI SHETANI MWENYEWE ANALUKALUKA KWA MSHANGAO na kujiuliza hivi nimeishiwa nguvu au mungu kazalisha version mpya ya Shetani??Dhambi zote sawa...nafikiri hakuna mwanadamu mkamilifu..
Hatupaswi kuhukumu maana ata sisi huwenda mbingu tutaisikia tu
Au ata ao wanaseria huwezi kujua labda wanatubu kila baada ya tukio, na Mungu wetu ni wa huruma husamehe kadri tunavyotubu
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona umewasahau hawa wa tra!!!!!