Recent content by kambuzi

  1. K

    Kwa nini ngome za wapinzani ziko zaidi mijini na katika vyuo vikuu?

    Vijijini asilimia kubwa hawana elimu,pili hawana muda wa kufutilia mambo muhimu,sanasana wao wanachofuatilia ni mbolea na mbegu.Ndiyo maana mara nyingi hutishiwa kuwa mkichagua chama kingine kutakuwa na vita,au hudanganywa kwa kupewa vihela kidogo tu,t-shirt,kofia,kanga,pombe,nyama n.k na wao...
  2. K

    Soma hapa Tafadhari!!

    pole,dunia ndiyo hiyo.Endelea usikate tamaa!
  3. K

    Tetesi mishahara ya walimu

    Wana JF tupeane habari juu ya tetesi hiyo,aliyepata la ukweli atutupie na sisi wenzie.
  4. K

    Matokeo ya Kidato cha Nne 2012 NECTA (CSEE)

    Kwa mtindo huu watanzania tujihadhari,hatuwezi kupata wataalamu hata kidogo!
Back
Top Bottom