Mike Scofield
Senior Member
- Dec 10, 2013
- 136
- 49
Tukea siasa za upinzani zianze hapa TZ tunaona wanashindwa kupanua ngome zao ndani ya nchi ili wawe na uhakika wa kuchukua dola. Sasa hivi CDM kama ilivyo kuwa NCCR Mageuzi hapo nyuma tunaona storia kama inajirudia.
Ni lipi wafanye ili kupanua wigo la mtandao wao? Naona hata chama tawala kama vile kimeshindwa kinaridhika na kuwaachia wapinzani maeneo ya mijini na kung'ang'ania vijijini kuliko na idadi kubwa zaidi ya wapiga kura.
Je, Upinzani unao uwezo au nafasi ya kujipanga na kupanua wigo wao hadi ngome kuu ya CCM - vijijini kwa muda huu uliobaki kabla ya 2015?
Ni lipi wafanye ili kupanua wigo la mtandao wao? Naona hata chama tawala kama vile kimeshindwa kinaridhika na kuwaachia wapinzani maeneo ya mijini na kung'ang'ania vijijini kuliko na idadi kubwa zaidi ya wapiga kura.
Je, Upinzani unao uwezo au nafasi ya kujipanga na kupanua wigo wao hadi ngome kuu ya CCM - vijijini kwa muda huu uliobaki kabla ya 2015?