Recent content by Kambi ya Kalito

  1. K

    JamiiForums Tanzania Taifa lina haki ya kujua Makamu wa Rais mstaafu yuko wapi, kama amepotea atafutwe

    Familia haijali kusema Nchimbi kapotea Nchimbi mwenyewe hajali kusema yuko salama ili tuache kuhangaika So, eff them all.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Hivi kwani kutongoza/kutongozwa ni kosa kisheria kwa mtu juu ya miaka 18?

    Kwani bado ni Mkuu wa Mkoa ???
  3. K

    JamiiForums Tanzania Mwekezaji anayefichwa anayetaka kuinunua Sinza yote, ni mama mmoja wa Kizanzibari na kijana wake wa kiume, Master mind wa ufisadi wote.

    Mzanzibar ananunua Sinza Kwa hela ya Mtanganyika Imani ya kwanza ya TANU Ya kichwa kibovu kimoja cha Mwalimu BINADAMU WOTE NI SAWA NA AFRIKA NI MOJA Inatutafuna mpaka kesho
  4. K

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Kuna ubaguzi wa kikabila, Utaifa na mpasuko wa kidini, Utanganyika, Uzanzibari

    Mwangalie vizuri ameshika sigara kali iko laced na cha Arusha. Ni mwendawazimu tu ndo anaweza kuingia mkataba kama ule. Zanzibar inaingia Nzega mara tatu! Ni ndogo kuliko wilaya zetu. Pemba ni ndogo kuliko Mbagala Metropolis, kuanzia mpaka wa Kurasini bandarini, Kwa Azizi Ally Temeke...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Kuna ubaguzi wa kikabila, Utaifa na mpasuko wa kidini, Utanganyika, Uzanzibari

    Ndio, Muungano unanizuia kebeti na kulima tikiti kwa mafanikio. Hela ya jasho langu kodi ya Tanganyika, BADALA YA KUTUPATIA FREE FARM SUBSIDIES ( MBOLEA BURE, MAJI BURE, DAWA ZA WADUDU BURE, MBEGU BURE, KODI ZA MAZAO BURE) kama ilivyo Japan, Russia, China, Ulaya na Marekani, hela ya...
  6. K

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Zanzibar wana Mzena na wenyewe ! Wameiita Mzena ili kila dawa na kifaa tiba kitakachopatikama Mzena Tanganyika kinunuliwe na cha Mzena Zanzibar. Ukiagiza MRI machine kwa hela ya Hazina Dodoma utaulizwa na Zanzibar je ? Tanganyika inahudumia nchi mbili kwa hela inayolingana. Zanzibar ndogo...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: Walitaka Kummaliza Mwigulu akiwa Ulaya

    Wanamalizaje kukutumia ???? Kimdoli kipo hapo unakitumia kuchinja na kutawala Watanganyika, kwa nn na chenyewe ukichinje ????? Kina Makonda na Mafwele na ma OCD wote wanaojua maiti za kina Mdude na Soka na Saanane na Polepope ziko wapi na Aide de Camp wa Kikwete aliyepelekwa kuwa Military...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: Walitaka Kummaliza Mwigulu akiwa Ulaya

    Okay, sawa NCHIMBI, POLEEPOLE, waliwagundua sio viumbwa vyao na wanaleta utetezi wa Utanganyika kwa kiasi chao. Ni kwa nn kina Katambi na Mwigulu na hata labda Mwaipopo unasema baadae watakuja kumalizwa kama bado ni vipanya na vimbwa vya Abduli na Wazanzibari ????????? Watwana huwa wanaua...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mange vs Meta: Kimataifa zaidi

    Yani mmetoa taarifa ya New York Post mmebandika tafsiri ya uongo na upotoshaji ya Sammy Awadhi! Post ya kwanza ya mada hii haikuwa YouTube post ya Sammy Awadhi. Rudiaheni posti ya awali. Hii ni potoshi!
  10. K

    JamiiForums Tanzania Rais Dkt. Samia Akiwaapisha Viongozi Wateule, Ikulu Ndogo Ya Tunguu, Zanzibar | 02 Septemba, 2026

    Ndio ilivyo. Mengi wanaiga watangulizi. Hatuna visionaries wa kubadlisha mazoea. Brigedier General Hashim Mbita aliandika "Ripoti ya Chande" over 20 years ago mauaji ya Zanzibar. Nani aliamuru kusema ua hapo panya ?? Ripoti ya Mbita ilisema nini ? Hili la kuficha ripoti kaanza Samia...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Rais Dkt. Samia Akiwaapisha Viongozi Wateule, Ikulu Ndogo Ya Tunguu, Zanzibar | 02 Septemba, 2026

    Monkey See Monkey Do Pombe aliapishia watu Chato Samia anaiga, na anasema why not me. Kanali Jakaya alipotemea makohozi Katiba ya CCM alikiri akasema, watu woooote wamepata miaka 10, 10, why not Samia ??? Monkey See Monkey Do. Hata Warioba aliposema haamini Nchimbi amepigwa telo huko aliko...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Agizo la Siri kwa Uhamiaji, wapewa amri kila MTANZANIA anayeingia nchini achunguzwe historia yake ya machapisho mtandaoni

    Logistically impossible Hawana watumishi wa kutosha wala uthubutu wa kumsimamisha kila mzungu na mchina airport. Wakisema wana target weusi-looking Tanganyikans peke yao tunaenda mahakamani kuitangazia dunia kwamba kuna kituko cha dunia huku njooni muone, kuna li nchi la weusi lina...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mange vs Meta: Kimataifa zaidi

    Playbook yao ni kwamba, post ya kwanza wanakurushia tusi. Ukijibu tu, unahama nao, wameshinda! Kwa saab wao lengo litopiki livurugike. Samia regime imelipa milions of dollars to lobbyist kujaribu kupata hiki ambacho Mange anakifanikisha hapa, rallying for international support. This is...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Serikali yatoa kauli kuhusu Mwekezaji Tim Draper kutangaza kukiuza Kisiwa cha Lupita kilichopo Ziwa Tanganyika

    DERIVATIVE RIGHT NA GRANTED RIGHT TOFAUTI YAKE NINI ?????
  15. K

    JamiiForums Tanzania Vuguvugu la kudai Tanganyika huru linanukia?

    Wala serikali tatu hatuzitaki Wala Muungano wenyewe hatuutaki mazima Majuzi interview ya Wariaba na Ulimwengu. Warioba akasema Wananchi bado wanataka Muungano. Ulimwengu akamuuliza hilo umelipata wapi hilo Mzee kwamba wananchi wanataka Muungano ??? Mzee akapanga kete
Back
Top Bottom