Eti kesi imeahirishwa kwa sababu hakimu hakutokea!
Ulaya mtuhumiwa asipotekea mahakamani unapewa charge ya FAILURE TO APPEAR
Halafu inatolewa kitu kinaitwa BENCH WARANT - yani wewe ni ONE TED !!
Popote utakapoonekana kwenye uso wa dunia unapigwa HENZ AP !! SHENZ TYPE !!
Africa jaji ndio...
Kukosoa viongozi na hata kutukana viongozi hakudhalilishi Taifa. If anything, kunaliheshimisha Taifa.
Duniani ma nchi yenye heshima nzito Rais anatukanwa. Na linchi haitetereki. Na himaya inasimama. Masaa 24. Bendera la nchi halishushwi usiku. Na hakuna anaekamatwa. Ndilo li nchi la ndoto ya...
Kwani hiyo 97 anaiongelea ya Zanzibar au ya jumla ya Rais wa Tanzania ?
Mi nikadhani anaongelea Zanzibar yani Mwinyi. Kwani Mwinyi alitangazwa kashinda kwa ngapi kule ?
Hayo ni ya kwako wewe, na matafsiri yako wewe mabovu na yenye upeo finyu.
Haiwezekani kichwa kikubwa kama Ado Shaibu kika hint kwamba msingi wa amani na utawala wa sheria nchini sasa unatishiwa kwa sababu sasa utekaji umevuka mipaka na kuingia CCM
Yani Ali Kibao na Deus Soka na wengine...
Yani bado tunatawalana kizamaniiiii
There is no way Rais wa Japan akaenda France au wa Ukraine akaenda Marekani halafu baada ya wiki mbili ndio mje kugundua kuna uamuzi au kuna maombi au agenda ilizungumzwa hamkuambiwa wakati wa ziara.
Siku ile ile Rais mgeni akitoka kwenye mazungumzo...
KAZI NA UTU.
Polisi wako wanatupa mazao ya watu mtaroni, unanyamaza.
Halafu unaendelea kutamka serikali ya utu.
Dhahiri hii ni kauli ya uongo wa wazi wazi.
Samia is a conjob. Tapeli.
Na utapeli wake ni mrahisi rahisi, hauna thought process yeyote inayoingizwa kenye kutunga ma uongo yao...
Ndio.
Yani tuko katikati ya ile wazungu wanaita medieval era. Mwaka wa 400 mpaka 1400 (karne ya 5 mpaka 15.)
Medieval kulikuwa na rigid social order ya mabwana na watwana, na ukatili mkubwa sana na harsh justice. Hata kuchoma moto criminals bila hukumu ya mahaka Ulaya wamefanya sana...
Bado haileweki.
Dhamana za polisi hazitolewi mahakamani
Kesi hizi za dhamana huwa zinaamuliwa bila amri ya jumla inayozibana polisi nchi nzima kuanzia siku hukumu inapotoka ??
AU
Mwandishi katupa jalalani taarifa muhimu, hajui umuhimu wake
AU
KAMA HII NDIO FULL STORY BASI UELEWA WETU NA UENDESHAJI WETU MICHAKATO YA KISHERIA ni finyu na dhaifu mno
Yani haiwezekani jambo hili kuishia hapo hapo tu kwamba wamesema aachiwe.
MAHAKAMA IMESEMA NINI KILIKOSEWA AMBACHO...
Kumbe hujui hata settings za JF halafu unanambia mimi mgeni hapa ?
Sasa ukiweka "ignore" thats worse off.
Watu wanakurarua in the bckground wakati wewe hujui unavyodhalilika.... Pick your freaking poison.
Utakoma kujaribu kuzuia condemntion and demand for justice for the 2025 massacre of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.