Recent content by Kambi ya Kalito

  1. K

    JamiiForums Tanzania Wakili Wasonga: Mhadhiri wa UDOM anatuhumiwa kuchoma majengo ya umma pamoja na makazi ya askari Polisi yote nchini

    Eti kesi imeahirishwa kwa sababu hakimu hakutokea! Ulaya mtuhumiwa asipotekea mahakamani unapewa charge ya FAILURE TO APPEAR Halafu inatolewa kitu kinaitwa BENCH WARANT - yani wewe ni ONE TED !! Popote utakapoonekana kwenye uso wa dunia unapigwa HENZ AP !! SHENZ TYPE !! Africa jaji ndio...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Heche kukosoa Congo kuwekeza Tanzania ina ufinyu wa uelewa

    Kukosoa viongozi na hata kutukana viongozi hakudhalilishi Taifa. If anything, kunaliheshimisha Taifa. Duniani ma nchi yenye heshima nzito Rais anatukanwa. Na linchi haitetereki. Na himaya inasimama. Masaa 24. Bendera la nchi halishushwi usiku. Na hakuna anaekamatwa. Ndilo li nchi la ndoto ya...
  3. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Wazanzibar wote tulishikana katika Uchaguzi, ndio maana ikapandisha ushindi hadi 97%

    Kwani hiyo 97 anaiongelea ya Zanzibar au ya jumla ya Rais wa Tanzania ? Mi nikadhani anaongelea Zanzibar yani Mwinyi. Kwani Mwinyi alitangazwa kashinda kwa ngapi kule ?
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    MUUNGANO WA KITAPELI SASA UNAPINGWA MPAKA MA VYUONI FUTA MUUNGANO HUU
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kutekwa kwa Kazungu ni unyama unaoichafua nchi- Ado Shaibu

    Hayo ni ya kwako wewe, na matafsiri yako wewe mabovu na yenye upeo finyu. Haiwezekani kichwa kikubwa kama Ado Shaibu kika hint kwamba msingi wa amani na utawala wa sheria nchini sasa unatishiwa kwa sababu sasa utekaji umevuka mipaka na kuingia CCM Yani Ali Kibao na Deus Soka na wengine...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Chama cha Upinzani Namibia chapinga uteuzi wa Jaji Damaseb kuwa Mjumbe wa Tume ya Jaji Lila

    Yani bado tunatawalana kizamaniiiii There is no way Rais wa Japan akaenda France au wa Ukraine akaenda Marekani halafu baada ya wiki mbili ndio mje kugundua kuna uamuzi au kuna maombi au agenda ilizungumzwa hamkuambiwa wakati wa ziara. Siku ile ile Rais mgeni akitoka kwenye mazungumzo...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Polisi Bariadi wafafanua video ya Askari na Bodaboda aliyekuwa na Magunia ya Alizeti

    KAZI NA UTU. Polisi wako wanatupa mazao ya watu mtaroni, unanyamaza. Halafu unaendelea kutamka serikali ya utu. Dhahiri hii ni kauli ya uongo wa wazi wazi. Samia is a conjob. Tapeli. Na utapeli wake ni mrahisi rahisi, hauna thought process yeyote inayoingizwa kenye kutunga ma uongo yao...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Nchi "imetekwa" na watu katili sana. WanaCCM wamekuli kukaa kimya na CHADEMA wachache wamejitoa muhanga. Lakini kilamoja anaumia na Mfumo huu

    Umekwepa - hujui - kuhusu ukubwa wa tatizo moja la msingi. Kongwa la Zanzibar kwenye shingo la Tanganyika.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    EXACTLY WANALAZIMISHA MUUNGANO UWEPO MUUNGANO HATUUTAKIIIIII
  10. K

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Museveni atishia vita na Kenya kuhusu bahari ya Hindi

    Kenya wanaenda kuandika Katiba Mpya?. Na yeye ya kwake anaandika lini ? Logic mbovu ya Mwafrika. Unashauri kitu ambacho wewe hufanyi.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri UDOM aliyepewa dhamana na Mahakama, sasa apewa shitaka la ugaidi, ahamishiwa Gereza la Isanga

    Ndio. Yani tuko katikati ya ile wazungu wanaita medieval era. Mwaka wa 400 mpaka 1400 (karne ya 5 mpaka 15.) Medieval kulikuwa na rigid social order ya mabwana na watwana, na ukatili mkubwa sana na harsh justice. Hata kuchoma moto criminals bila hukumu ya mahaka Ulaya wamefanya sana...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Wakili Malangalila: Mhadhiri wa UDOM aachiwa kwa dhamana, Mahakama yakataa ombi la fidia

    Bado haileweki. Dhamana za polisi hazitolewi mahakamani Kesi hizi za dhamana huwa zinaamuliwa bila amri ya jumla inayozibana polisi nchi nzima kuanzia siku hukumu inapotoka ??
  13. K

    JamiiForums Tanzania Wakili Malangalila: Mhadhiri wa UDOM aachiwa kwa dhamana, Mahakama yakataa ombi la fidia

    AU Mwandishi katupa jalalani taarifa muhimu, hajui umuhimu wake AU KAMA HII NDIO FULL STORY BASI UELEWA WETU NA UENDESHAJI WETU MICHAKATO YA KISHERIA ni finyu na dhaifu mno Yani haiwezekani jambo hili kuishia hapo hapo tu kwamba wamesema aachiwe. MAHAKAMA IMESEMA NINI KILIKOSEWA AMBACHO...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Kwa kinachoendelea kwa Madiba ni dhahiri kuwa Afrika imejaa laana

    Kumbe hujui hata settings za JF halafu unanambia mimi mgeni hapa ? Sasa ukiweka "ignore" thats worse off. Watu wanakurarua in the bckground wakati wewe hujui unavyodhalilika.... Pick your freaking poison. Utakoma kujaribu kuzuia condemntion and demand for justice for the 2025 massacre of...
Back
Top Bottom