Bwana mwizi akaikwapua cm yangu, chap akawah pale k/koo kwa wale wenye masters za kuflash...si atakua amefanikiwa kubreach security level zote mkuu.
Au unijuze kama kuflash kuna process ya kuverify owner
Chukua vielelezo/mkataba wa kununua.
Kielelezo cha malipo ya awali/kianzio
Vielelezo vya malipo yote(uloyokua unafanya kila wiki)
Ukishaanda hilo furushi la documents, watimbie ofisini kwao.
Wakizingua na hapo, rudi hapa tukawanyooshe..hawatakua na tofauti na matapeli wa mtandao
Nakunukuu: ''sasa wengi wanasema kwa kuwa nimetumia catheter Mara 4 huwa zina tabia ya kulegeza mishipa ila sina uhakika na hilo''
Usiwasikilize hao ''wengi wanasema '', Nenda hospital upate msaada immediately
Acha kutetea nonsense.
Ni barabara ngapi hapa mjini zina traffic lights, lakini tunakuta askari ndo wanaongoza magari? nini kigumu kwa askari kwenda kuongoza magari kwenye njia hii mpya?
Mnahitaji miaka mingapi ili muweke hizo Taa na alama za barabarani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.