nimekuwa nikiwatumia hili swala langu sasa unaenda mwezi wa pili sijawekewa umeme toka nilipie service line! mtu wenu wa G/Mboto alinipigia simu mara moja wiki 2 zilizopita matokeo yake ananiambia kwamba hana la kufanya! kwani nyie Tanesco mna matatizo gani nimeshalipia karibia miezi 2 umeme...
Tanesco kuna shida gani? nimelipia umeme mwezi mmoja na nusu umepita sijafungiwa umeme! Humu nimelalamika wee lakini hamna hatua yoyote:
Wilaya:Ilala
Kituo:G/mboto
Simu: 0622239935
kama unayo picha ya nyumba ya vyumba viwili chini,sebule,choo na jiko na juu(gorofa) chumba kimoja au viwili naomba uweke picha ya nje nione ndo nikufuate inbox
Kuacha mke anaechepuka na ushahidi unao ni sahihi! Lakini swala hilo Lina ugumu kidogo kama mke umeshazaa nae na kuna Mali mmechuma pamoja kwa maana ya nyumba gari mashamba,pukurushani yake Sio ya kitoto! Kumuuliza mkeo ni jambo Jema lakini usitegemee kama atakubali! Mwanamke hata umkute mtu red...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.