Sasa uhuru wa maoni upo wapi?haya matamko mpaka huku yapo?labda toa maoni tusiwashabikie wanasiasa wote ;lkn kwann zitto pekee? Acha watu watoe maoni yao kwa uhuru muhimu sheria za nchi zisivunjwe
Tatizo la wanamapinduzi wa tanzania na tunaojiita wanamapinduzi wa kweli;usaliti kwetu ni mtu anapopishana mawazo na ww;hata kama alianza mipango zamani wakati ule na wakina prof mkumbo na mwigamba kwa ninachokijua mm;ambacho kipo wazi na kwangu mm bado ule c usaliti ni mawazo tu ambapo wangekaa...
Ndugu yangu mageuzi/mapinduzi yanatafsirika kwa maana nyingi tofautitofauti na ndo maana hata yeye zito na wengine wanajiita wanamapinduzi na sio kwa maana moja unayooamini ww au mm.
Na ili mwanamapinduzi ushinde huwezi kushinda kama unavofikiri;ccm wenyewe pamoja na kuwa kwenye game muda lkn...
Kwa kifupi zito alishajua nn kitamkuta; na chadema walikuwa hawamtaki kitambo;sasa ulitaka afanyaje?
Sisi binadamu huwa tunapenda ukigombana na mtu mfano mke/mume akimuacha mwenzake anataka amuone kachoka kapauka;uanze kujisifu bila ww hawezi kuishi.
Chadema muacheni zito afanye yake na nyinyi...
Nashauri ndugu zangu msiende na maandamano yenu kwanza hamjazoea;na pia gwajima yupo na wakili wake na haendi kuchinjwa.mahojiano ni kitu cha kawaida tu
Wasomi badilikeni;kwa mawazo yako au kwa fikra zako kama msomi ungetaks vyuo vyote vifungwe kibaki mlimani?
Unafikiri maendeleo ya nchi hii yataletwa na udsm peke yake?
Kila chuo kina distinguishing character yake; madaktari wa binadamu wanatoka udsm;kilimo je?
Kigezo chako cha kutokwenda...
Heri yenu nyinyi mnaolea watoto wa mapadre afu mnatuzuga eti watoto yatima.
Watoto wa mitaani kwani wote waislam?nenda zanzibar kama utakuta watoto wa mitaani kama arusha na mwanza?
Ombaomba maarufu nchini matonya nae alizaliwa na muislam?kisha akabadili dini?
Lkn ni mawazo yako mzee wa...
Nakubaliana na wewe ukaribu wa kanisa na serikali na hasa kanisa katoliki na ndo maana hata ile memorandum of understanding kati ya kanisa na serikali ya kusaidia miradi ya kanisa na hasa kanisa katoliki mfano ya wazi serikali kusaidia uendeshwaji wa hospitali za kanisa za bugando na kcmc.
Sio...
Tuachane na ukabila;tanzania yote ni ya kwetu na hayo mambo ya mgombea kuwa ni lazima awe mzawa wa eneo analotoka huwa sikubaliani nalo kwani watu wenye uwezo huwa wanakosa nafasi kwa kigezo hiki na anachaguliwa mtu asiyeona mbali.
Ila mtangaza nia kachemka uwasilishaje wake inabidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.