CHAMA CHA MAPINDUZI CCM leo kimepata pigo katika Jiji la Mwanza baada ya mwenyekiti wake wa mtaa muhimu wa Nera kujiunga na CHADEMA.
Bwana ABUBAKARI SEIF ambaye alikuwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Nera kupitia CCM amejiunga rasmi leo kwa kukabidhiwa kadi ya CHEDEMA katika ofisi za Kanda...
kutokana na maandamano ya kupinga Bunge la katiba Polisi mkoani Mwanza wamewakamata viongzi wa chadema wa ngazi mbali mbali mpaka sasa walio kamatwa ni Mwenyekiti wa Wilaya ya Nyamaghana,Katibu mwenezi Wilaya ya Nyamaghana,Mwenyekiti wa vijana Mkoa wa Mwanza,Matron Wilaya ya Nyamaghana,RB kata...
CHADEMA Mkoani Mwanza imetangaza maandamano ya kupinga Bunge la katiba linalo endelea maandamano yatakayo fanyika kesho tarehe 25/09/2014, akitangaza maandamano ayo mbele ya waandishi wa habari mwenyekiti wa mkoa wa mwanza ADRIANI TIZEBA amesema CHADEMA imepeleka barua za taarifa ya maandamano...
MAONO YA MTOTO WA KIJIWENI. KWANINI TULAZIMISHE KUONGOZA?
Na Meshack Micus.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo chadema kimemaliza chaguzi zake katika ngazi za Misingi hadi Mikoa na sasa kinakamilisha chaguzi ngazi ya Taifa. Nimesikia watu wana wekeana mapingamizi, nimeona makumi...
Naibu Meya wa manispaa ya Ilemela Mwanza [CCM] amefukuzwa kwenye wadhifa wake na Meya wa Manispaa bwana Matata[diwani wa mahakama].
Sakata hilo ambalo linasemekana linatokana kutoelewana baina ya Meya na Naibu wake hasa baada ya kushindwa kugawana maslai ya utoaji wa tenda[ 10%] .
Kutokana na...
Mtoa mada anamasilahi na wizi na ubadhirifu uliotamalaki nchini. Chadema haina nafasi ya kusifia ccm wala kuishauri ccm. Kazi ya chadema ni kuiumbua ccm na mawaziri wake kwa lengo la kuwachongea kwa wapiga kura. Na ukiona adui anakusifia ujue umepotea njia Cdm viva!
Msiba ni suala binafsi. Hata mzee Masinde ambaye ni mjumbe wa kamati kuu na ni mdhamini wa chama alifiwa na mama mkwe juzi juzi tu hakuna hata kiongozi wa chama aliyeshiriki isipokuwa wale wa mwanza tu. Mbona hakulalamika?.
CCM Imekumbuka shuka wakati kumekucha lazima 2015 waondoke.
Miaka 50, hatuwezi kukubali:
1. chama kile kile
2. Watu wale wale
3. Akili zile zile
4. Wizi ule ule
5. Ulaghai ule ule
6. Mbinu zile zile
7. Sura zile zile
8. Sera zile zile
9. Kashifa zile ziole
Sio kweli, Ridhiwani uache uchofu wa kufikiri.
Unagangania mashirika yaliyoanzishwa na Baba wa Taifa yakaridhiwa na Mwinyi akauza yakabaki mkapa akauza yakabaki Baba yako anamalizia kazi.
Tunataka vijana critical wa kuibua vitu vipya na vyanzo vipya vya kutengeneza ajira.
Je unajua kuwa kilimo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.