Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
nakumbuka siku ile malori yalisomba wanaccm kiasi kikubwa kuna picha wakati mkutano umeisha kulikuwa na vita maana kuna watu waliahidiwa buku kumi wakakosa , walikataa kupanda mabasi na malori yaliyoleta.Kujaza uwanja wa jangwani kwa kuletwa na malori na mabasi , maanke umati huo ulilipwa uliuje kujaza uwaja wa jangwa bali haikuwa dhamira yao kushabikia ccm.maake bila pesa wasingekuja.
Asante sana,