Namimi ni mtumiaji mkubwa wa bandari ya Dar niseme tu ukweli, ufanisi katika bandari ya Dar umeimalika sana, napata mizigo yangu kwa wakati, usalama umeimalishwa, hakika napata huduma bora kabisa. Sidhani kama wewe mwenzangu ni mtumiaji kweli wa bandari
Yaani uwe na huduma mbaya alafu bado uwe na ongezeko la wateja, utakuwa uchawi basi. Mimeli inaongezeka sababu kuna efficiency, ndio maana pamoja wao kuwa na migati mingi lakini bado tunakula nao sahani moja
Utendaji chini ya kiwango, usalama mdogo wa mali za wateja, uchache wa magati, lakini vyote leo hii vimebadirika ufanisi umeongezeka, usalama wa mali za wateja ni wa uhakika, utendaji umeboreka ndio hayo tunaona hali kubwa za waranyakazi wanapiga kazi 24/7
Makusanyo ya TRA kwa kipindi ch nusu
Lakini number bado zinaibeba
Lakini number bado zinaing'arisha bandari yetu kama 40% ya makusanyo ya TRA yanatokana na bandari na kwa mujibu wa Kamishna mkuu wa TRA makusanyo kwa mwezi Desemba 2024 yameongezeka kwa 9.2% kutoka 2.79 tril mwaka wa fedha...
Makusanyo ya TRA kwa kipindi ch nusu
Lakini number bado zinaibeba
Lakini number bado zinaing'arisha bandari yetu kama 40% ya makusanyo ya TRA yanatokana na bandari na kwa mujibu wa Kamishna mkuu wa TRA makusanyo kwa mwezi Desemba 2024 yameongezeka kwa 9.2% kutoka 2.79 tril mwaka wa fedha...
Kuna shida gani mtu akitoa fedha zake na kugawa kwa anaye jisikia kumpa? wangapi wanatoa mamilioni au kwa kuwa katoa Rugemarila? Rugemarila ni Milionea kama siyo Bilionea, kutoa visenti hivyo ni kitu kidogo kwake. Kuuza shea za kampuni yake imekuwa shida?
Ndugai aliitaka PAC kuifanyia uchambuzi na kutoa mapendekezo.
Hata hivyo, aliitaka ihakikishe inajikita katika kutumia ushauri uliotolewa na CAG na Takukuru katika kutoa mapendekezo kwa sababu waliwahoji wahusika wote."Baada ya kukamilisha kazi, taarifa irudi kwangu ili kujiridhisha kabla ya...
Good Tumbiri! kama kweli umetimiza hilo la maabara, sababu kila mwanasiasa akiwa nyuma ya kipaza anaongea anavyoweza. Lakini kwenye escrow :A S thumbs_down:. Mkuu zile fedha ni za IPTL, lakini majibu mazuri yatatoka kwenye ripoti ya CAG.
Lakini kwanini hawa wanasiasa wanatutumia sisi watanzania kwa maslahi yao binafsi, kwani ukiwa mwanasiasa lazima ung'ang'anie maskendo ndio utoke kisiasa? Wajibika kwa wananchi wako vizuri ndio wananchi wanachotaka, as a leader kazi yako ni kuonyesha njia kuwatoa wananchi kwenye matatizo yao ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.