TAMKO LA "BAVICHA SERENGETI MARA" KUHUSIANA NA ZOEZI LA UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA KWA MFUMO WA BVR NCHINI.
TAARIFA KWA VYOMBO VYOTE VYA HABARI NCHINI
Ndugu Waandishi wa habari,
Awali ya yote niwapongeze kwa juhudi na jitihada zenu mnazozionyesha katika kuhakikisha kwamba Wananchi waliomo...
Duh! Philipo Mwakibinga nimemkumbuka sana tangu tukiwa kwenye Uchaguzi wa Kitaifa pale Mlimani City Jijini Dar Es Salaam.
Namtia Moyo sana aendelee kupambania haki kwa manufaa ya wengi, hakika 2ko pamoja naye.
Francis Boniface, Mwenyekiti S/Kijiji kupitia CHADEMA.
Kata za Nyansurura, Machochwe, Nyamoko, Rung'abure na Kebancha huku Serengeti Mara, hadi hivi sasa Saa 12:20pm, Karatasi za kupigia Kura hazijafika Vituoni bila taarifa toka kwa Viongozi wa ngazi za juu, tunapohoji kuhusu sababu za kucheleweshwa kuanza kwa Uchaguzi, wanabaki wanatupiana Mipira...
Wakuu, Kamanda wenu Francis Boniface nipo tight kuliko kawaida nikipambana na wezi wa CCM huku Vijijini Serengeti Mara, naamini ni kitambo sipo hewani licha ya kwamba nafuatilia kwa kina maswali ya Kitaifa na yale ya Kichama hususani Sakata la Escrow Account ndani ya Bunge. Kubwa zaidi napenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.