Kata za Nyansurura, Machochwe, Nyamoko, Rung'abure na Kebancha huku Serengeti Mara, hadi hivi sasa Saa 12:20pm, Karatasi za kupigia Kura hazijafika Vituoni bila taarifa toka kwa Viongozi wa ngazi za juu, tunapohoji kuhusu sababu za kucheleweshwa kuanza kwa Uchaguzi, wanabaki wanatupiana Mipira...