Mimi ni binti wa miaka kadhaa, ninafanya kazi kwa maana ya muajiriwa, nina mahusiano, sina mtoto
Kiafya Status yangu ni HIV+ (ugonjwa unawapata binadamu so zngatia kauli ikiwa wewe ni binadamu, ila kama wewe sio binadamu niongelee vibaya). Tangu nimegundua nina hali hiyo huu ni mwaka wa 5 sasa...