Recent content by Kamamou

  1. K

    NIPO NJIA PANDA

    Asante Nilivyoumizwa, uchungu nilioupata sikuhitaj kumsababishia mwingine kwa kutokujua.
  2. K

    NIPO NJIA PANDA

    Mimi ni binti wa miaka kadhaa, ninafanya kazi kwa maana ya muajiriwa, nina mahusiano, sina mtoto Kiafya Status yangu ni HIV+ (ugonjwa unawapata binadamu so zngatia kauli ikiwa wewe ni binadamu, ila kama wewe sio binadamu niongelee vibaya). Tangu nimegundua nina hali hiyo huu ni mwaka wa 5 sasa...
  3. K

    CAG sio Muongo kwa vigezo hivi

    Mihemko imemfikisha hapo, katka harakat ya kutetea ugali wake anajikuta anajidhalilisha Hana fact hana documents
  4. K

    Jamii ya waarabu wanaongoza kwa kuwa na huruma duniani

    Waarabu labda wa shinyanga[emoji23][emoji23][emoji23] sio waarabu hawa tunaowajua sisi....kama una taarifa zaid endelea kutujuza
  5. K

    Hata kama ni kuosha vyombo, niko tayari. Nahitaji kazi yoyote ile nitakayo imudu.

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  6. K

    Hata kama ni kuosha vyombo, niko tayari. Nahitaji kazi yoyote ile nitakayo imudu.

    Nahitaj kijana wa kuosha vyombo, sa mbona wanituliza chief akat wewe muosha vyombo mzuri tu
  7. K

    Hata kama ni kuosha vyombo, niko tayari. Nahitaji kazi yoyote ile nitakayo imudu.

    We si unatafuta kuosha vyombo? Unachagua Umuoshee nani tena? New on JF with a new ID kaka be wise[emoji23] Anyways got you brother, your target ni old members only
  8. K

    Hata kama ni kuosha vyombo, niko tayari. Nahitaji kazi yoyote ile nitakayo imudu.

    We Jamaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajarbu kuwa smart nmecheka aet smu ndo nmeitoa kwenye chaji ngoja nikupigie.
Back
Top Bottom