Recent content by kamadi

  1. K

    Nimepata mchempuko permanent

    Kakuxudi miaka sita unamuita mama?miaka sita anaweza kukuzaaa? Acha ujinga huyo mnalingana, unatakiwa kumuita mtu mama kama anakuxidi kuanzia miaka 17
  2. K

    PreGE2025 Wasira: Lissu aje, tufanye Mdahalo halafu Watanzania waamue, adai CHADEMA kwasasa imekatika

    Kwani anagombea wasira? Anaposema kuwa watanzania wafanye maamuzi katika uchagu ujao, kwani anagombea lisu na wasira? Mbona kama huyu mzee kaanguka mdahalo hata kabla hawajaingia ulingoni?
  3. K

    Mchakato wa ajira za ualimu mwaka 2025 si wa haki, umekaa upendeleo

    Kaka kama umefeli mtihani acha kulia lia huku njia iliyotumika ndio sahihi kapisa na yauwazi, hakuna njia nyingne halali zaid ya hii kama wewe nikilaza ukategemea kwenda kufelisha watoto wetu umefili kabla ya kuwafelisha
  4. K

    Huu muujiza na ushuhuda niliosikia kwa Mwamposa umenistua

    Daaaah inasikisha kwakweli na kuhuzunisha na maneno kama hayo serikali ipo na inayasikia kiukweli inasikitisha, mm nimekuwa nikisikia mengi watu wanatoa ushuhuda wa kitaperi lakini serikali haichukui hatua, hata huyo anaetoa ushuhuda huwa baadae akikaa anajiuliza kuwa hivi niliongea nini kile...
Back
Top Bottom