Recent content by kama kazz

  1. kama kazz

    Tukubali tukatae, mtu kuwa na Tattoo ni kielelezo cha malezi mabovu

    Naomba unichagulie jibu moja hapa mtu kuchora Tattoo ..au kuwa shoga ..au kuwa teja kipi ni bora mkuu ? Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
  2. kama kazz

    Muwekezaji kutoka Tanzania bara apigwa stop kuanzia January

    muacheni mzee apmzike tupambane vijana haya yote yanatokea kwa sababu ya unafiki mwingi tunaoufanyaga viongozi wa bara Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
  3. kama kazz

    Tuliyaishi haya zamani yetu, sasa yamebaki kumbukumbu ya kuvutia kama si kuchekesha

    Hivi mnakumbuka miaka yetu ya kuanzia 96 mpaka 2000 kulikuwa na Ma camp ikifika mwisho wa mwaka mnachanga pesa mnapiga Mziki wa mkesha mtaani kwenu
  4. kama kazz

    Tuliyaishi haya zamani yetu, sasa yamebaki kumbukumbu ya kuvutia kama si kuchekesha

    hii inaitwa Ugali Nguru Maji Dumu ukimueka kwenye mkaa wa moto ananukia hadi nyumba ya kumi
  5. kama kazz

    Tuliyaishi haya zamani yetu, sasa yamebaki kumbukumbu ya kuvutia kama si kuchekesha

    Nakumbuka niliwekwa katikati ya tairi la tipa nikajikunja freshi likawa linasukumwa maeneo ya bondeni Baba kilichonikuta sitokisahau .. Dah ila maisha yale yalikuwa na ushirikiano sana kwa mana mimi nimetoka kutupwa kwenye miba na pira mwenye zamu yake aliefata na yeye akajikunja akasukumwa hadi...
  6. kama kazz

    Namba 666 na uhusiano wa melanin!

    Ni wachache sana tunaoelewa mambo kama haya ila tu hatuna nguvu ya kuwaelimisha wenzetu ,,ni wabishi laana
  7. kama kazz

    Wakuu, nimekuta mil 300 kwenye Bank account yangu - sizijui!

    Hiyo kuna jamaa na yeye aliwekewewa million 700 ila takukuru wakadili nae kwamba zimetoka wapi mwisho wa siku akapigwa faini ya million 7
  8. kama kazz

    Kauli ya kuitwa 'wanyonge' ndio silaha hatari wanayoitumia viongozi ili wananchi wasitoke nje ya boksi

    kaka maisha ya tanzania ni magumu sana mkuu u binafsi au kuona mwenzio anakufa kwa kukosa kula hili ni kawaida sana kwetu,,,HUYU JAMAA KAIBA PESA NYINGI SANA KIPINDI HIKI CHA MIAKA MITANO ILIYOPITA SISI WAJASIRIA MALI WADOGO WADOGO TUMEKIONA CHA MTEMA KUNI,,
  9. kama kazz

    Kauli ya kuitwa 'wanyonge' ndio silaha hatari wanayoitumia viongozi ili wananchi wasitoke nje ya boksi

    Aisee humu ndiyo mana tumenyooka vya kutosha yani mtu u aiba 1.6 millions of Dollar unakaa nazo home.. mimi nilienda kuchenchi dollar mia300 niliandika maelezo kama nataka kutoa mtu roho kubabake
  10. kama kazz

    TANZIA Mwanamuziki wa Reggae Bunny Wailer (Neville O'Riley Livingston) afariki dunia

    Kuna watu wengine kwa nini wasife wao wakatuachia ( Ma- legend ), sasa bangi zinamuhusu nini huyu mtoto mpuuzi sana yani
  11. kama kazz

    TANZIA Mwanamuziki wa Reggae Bunny Wailer (Neville O'Riley Livingston) afariki dunia

    Bunny Wailer Dead R.I.P | Best Of Bunny Wailer | Roots Reggae |
  12. kama kazz

    TANZIA Mwanamuziki wa Reggae Bunny Wailer (Neville O'Riley Livingston) afariki dunia

    Bunny Wailer alishinda tuzo tatu za Grammys Mwanamuziki huyo, kutoka Kingston, Jamaica, alikuwa mmoja waanzilishi wa bendi ya The Wailers pamoja na rafiki yake wa utotoni, Bob Marley. Kwa pamoja, walipata umaarufu kimataifa kupitia nyimbo zao za reggae kama vile Simmer Down na Stir It Up...
Back
Top Bottom