Recent content by Kalund

  1. Kalund

    JamiiForums Tanzania SoC02 Tabasamu na Mwalimu

    Article bora sana kwa walimu na jamii kwa ujumla
  2. Kalund

    JamiiForums Tanzania SoC02 Tabasamu na Mwalimu

    👏👏👏👏👏👏👏👏
  3. Kalund

    JamiiForums Tanzania Kizungumkuti cha mtu akifa anaenda wapi? Maoni ya watu na imani mbalimbali duniani

    King James VersionEcclesiastes 9:10 10. Whatsoever thy hand findeth to do, do it with thy might; for there is no work, nor device, nor knowledge, nor wisdom, in the grave, whither thou goest.
  4. Kalund

    JamiiForums Tanzania Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    Dawa yake HoneyBurger ( Nyegere )
  5. Kalund

    JamiiForums Tanzania Mbinu kwa mafundi simu

    Kuondoa solutiin online ni kuua soko la simu, wanategemea nini? Hizo solution zitaendeleakuwepo ila sio ujuzi wa jujuwezesha kuunda simu kama yao. Repair ni suala dogo sana sidhani kama watakuwa wamefanya jambo la maana kuziondoa.
  6. Kalund

    JamiiForums Tanzania Mbinu kwa mafundi simu

    Watafeli
  7. Kalund

    JamiiForums Tanzania Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

    Kuwa na mauzauza ni mtazamo wako binafsi, usitake kumuaminisha kwa lazima kila mtu unachoamini wewe. Anyway , sikutegemea kuungwa mkono na kila mtu. Kwa mtu aliyetulia akasoma mada kwa umakini lazima ameona utofauti wa hoja katika mada kuu na article niliyoleta mimi. Kwa heri.
  8. Kalund

    JamiiForums Tanzania Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

    Hujaelewa swali langu, soma tena.
  9. Kalund

    JamiiForums Tanzania Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

    Unataka copy and paste ipi ili ukae kimya? Mleta uzi hajatoa maelezo.
  10. Kalund

    JamiiForums Tanzania Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

    Wewe ni mjuzi wa ku attack even with wrong targets. Kosoa hoja iliyotolewa, usimkosoe mletaji. Au imekuwa kosa kuleta citation? Hata wanafuzi wanapofanya assignments huambiwa watoe references za majibu wanayotoa. Hivyo huja na vyanzo tofautitofauti kila mmoja na chake. Na kwa uelewa...
  11. Kalund

    JamiiForums Tanzania Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

    Kumtambulisha “Babiloni Mkubwa” KITABU cha Ufunuo kina majina ambayo yana maana ya mfano. (Ufunuo 1:1) Kwa mfano, kinataja mwanamke ambaye jina “Babiloni Mkubwa” limeandikwa katika paji la uso wake. Kinasema kwamba mwanamke huyo ameketi juu ya “umati na mataifa.” (Ufunuo 17:1, 5, 15) Kwa kuwa...
  12. Kalund

    JamiiForums Tanzania MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

    Martin Luther na Mageuzi Aliyoleta “INASEMEKANA kwamba vitabu vingi vimeandikwa kumhusu [Martin Luther] kuliko mtu mwingine yeyote katika historia, isipokuwa bwana wake, Yesu Kristo,” likasema gazeti la Time. Maneno na matendo ya Luther yalisaidia kuleta Mageuzi ya Kidini. Mageuzi hayo...
  13. Kalund

    JamiiForums Tanzania Website Transilation

    Ni tovuti gani iliyotafsiriwa katika lugha nyingi zaidi? (The most translated website) Mimi naanza na... 1. www.jw.org imetafsiriwa katika lugha zaidi ya 800 duniani kote. Orodhesha zingine.
  14. Kalund

    JamiiForums Tanzania Top 10 Most Educated African Presidents

    Confusing Record za mwaka gani hizo?
  15. Kalund

    JamiiForums Tanzania Swali kuhusu kufufuliwa siku ya mwisho/ siku ya hukumu

    Nadhani kila mtu atafufuka na sura yake ilimradi isiwe na tatizo la kiafya au kilema. Bali katika vichwa vya watu hakutakuwa na mawazo ya kudhani fulani ana sura mbaya, au mimi nina sura mbaya.
Back
Top Bottom