RAIS mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, alipata kuzungumza huko nyuma kuhusu zama. Akizungumza kwa ujumla tu, lakini kwa maana pana, alisema kila zama zina kitabu chake. Msingi wa hoja yake hiyo ni kwamba, si sahihi kulinganisha zama mbili tofauti kwa kutumia muktadha mmoja.
Bila shaka, hizi ni zama...