Rooney
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 3,782
- 3,909
Wanajeshi hawalipwi!!! Be serious na careful mkuu,umeongelea idara nzito sana kwa ishu ya uongo.Huu upoyoshaji wa makusudi au kutokujua kusoma ndio kikwako "kiingereza" wamekuja na propaganda kuwa UN yaitaja tanzania kama nchi ya 9 kwa amani duniani kitu ambacho sio kweli.
Tanzania ni ya 9 kutoa walinda amani ambao hata ivyo jeshi na serikali haijawai kusema ni wanajeshi kiasi gani wako nje ya nchi.
Na kibaya zaidi hata hao wanajeshi wakirudi hawalipwi stahiki zao kama inavyostahili na.mikataba yao ya amani hawaijui.
View attachment 789595