Recent content by Kalipuso

  1. K

    Nahisi simpendi mke wangu

    Ww ndo mwenye matatizo!!!! Kama mke wako hakupendi husingekuwa nae, kuna vitu viwili; either ulimtesa sana wakati unamchumbi au ulimuonyesha kuwa una wapenz nje ndo maana alikuchukia, kama ulivyosema kuwa kazi zako ni za nje huenda ulikuwa na vichenchele huko, au hukuwahi kwenda naye huko...
  2. K

    Huu mwili sio ndugu zangu, nisaidieni mawazo

    Umenena mkuu, watu wote waliocoment, ww ndo umenena, Mlengwa unatakiwa uwe free from all stress . . .. be happy, Jichanganye kwenye magroup ya rafiku zako, ukitoka job, tafuta Henken zako mbili pamoja na nyama choma piga, bt ukiwa na marafiki not alone, jitoe hata kuwanunulia rafiki zako ili...
  3. K

    Nahitaji rafiki wa kike katika nyanja za uchumi, uwekezaji na maisha kwa jumla

    Karibu sana kaka, hata mm nilikuwa namtafuta mtu kama ww. Nina idea nzuri ya business nina mashamba ya kulima nipm namba yako. Ntakutafuta.
  4. K

    Mavazi yenu yana kera bna... Mpaka hamu ya kugegeda inaisha... Arghhh.

    atakuwa anabemenda mahousegal tena walotoka vijijini.
  5. K

    Nimrudie Tena?

    pole mwanya, ila nakushauri husirudi nyuma tena, maana atakuja kukutenda zaidi ya hapo. 4get, 4give na songa mbele hasije jiona kuwa huna wakukupenda. Kama ni wako am sure he will cm, huwez jua labda Mungu kuna vitu kakuepushia.
  6. K

    Demu wa kihaya ananipagawisha

    Wahaya mpooooooooo......
  7. K

    Nafasi za Kazi BOT zaidi ya 50 - Apply now

    Ngoja nitafute number ya Mr naniliuu nijikatie Insurance Mapemaaaaaa kabla ya yote.
  8. K

    UDSM kuna nini jamani?

    kwani umeona nn
Back
Top Bottom