Slaa peke yake ndiye atakayeweza kuikomboa nchi hii hao wengine wote walishashindwa na walikuwa wanatupeleka pabaya tuwashukuru viongozi wa upinzani kuufumua huuo uozo wa ufisadi, vinginevyo ungeshauzwa na wewe mwenyewe bila kujijua.
Nyerere alishamwona huyu mkuu wa nchi yetu kuwa hafai kuwaongoza watanzania sasa tunayaona. Swala sirious case kama hii siyo la kulikalia kimya mda mrefu namna hii. watanzania tuingie barabarani tuwaokoe ndugu zetu wanao teseka hakuna njia nyingine, maana viongozi wetu wote wamechemka ni aibu...
Inauma sana kuona matumizi ya serikali jinsi yalivyo makubwa kwa viongozi wa serikali kuhamisha kazi za maofisini kupeleka mahotelin, na kupeana posho ambazo hazina msingi wa maendeleo yeyote,maofisi yote ya serikali yana (comferenc room) chumba cha mikutano, huko hotelini wanfanya nini kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.