Humuoni alivyokuwa Rais wetu Mzuri? ndio aina pekee Rais kijana katika Afrika mashariki.
Humuoni alivyokuwa Rais wetu Mzuri? ndio aina pekee Rais kijana katika Afrika mashariki.
Hawa nao picha zao zinachochea watu wengine?
Aisee hii hali imezidi, inabidi wananchi tuamke, tuingilie kati hili swalabefore its too late
Nilikuwa na majonzi na hasira kwa picha za umaskini wa watanzania, mara nakutana na hii nikacheka ghafla jinsi jamaa wa intelijensia walivyo hoi kwa usingizi na Mzee John naye anahangaika kufikicha macho asije akaishia kama wao! Sijui walinyweshwa nini?