Hii ndio mjue kuwa, uwezo wenu nyinyi ufipa wenye maono ni zero. Kodi za watanzania huliwa na watanzania wenyewe akiwemo Dr. Silaa, kila mtanzania huitumia Kodi kwa nafasi yake
Mwigulu yupo vizuri kiutendaji, kama wewe huoni, unalako jambo, unazungumuza kibiti wakati Imedhibitiwa! Hali yauhalifu nchini imeshuka kabisa amani inazidi kutamalaki wewe huoni? Tatizo unachanganya siasa na kazi na chuki zako binafisi
Wewe ndiye utujibu, anunuliwe kwa lipi alilolifanya? Kwa akili yako hiyo ndogo Hali ngumu umekaa kijiweni, Fanya kazi acha kulialia. Uamuzi wa mtu mmoja upo kwa mbowe. Fanya kazi kwa kujituma uchumi utapanda, maneno matupu hayasaidii
Hakuna mtu mpumbavu na mwenye mawazo kama yako, ikiwa Nyalandu ilikuwa halali kuhamia cdm vipi Moleli iwe haramu kuhamia ccm na ujenge hoja ya kununuliwa? Acha ujinga jitambue
Wewe ndiye mjinga kudhani kwamba kila anayehamia ccm toka upinzani amehongwa, Bali anaye hamia toka ccm kwenda upinzani kajitambua, ni mawazo mufirisi Jiongezee wewe!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.