Polee sanaaa Dada Muamini Mungu maana ndio muweza wa yote yeye aliyeruhusu kiumbe icho kuwepo hai mpka Leo hii maana take ana makusudi nacho ni lazima atatengeneza njia na hill nalo litapita na maisha yataendelea kikubwa omba toba na rehema kwa Mungu maana ni mwingi wa rehema na huruma
Mkuu suala la mgombea binafsi ni suala nzuri kwa mantik hii
Mgombea binafsi hatapaswa kuwajibishwa na wana nchi moja kwa moja iwapo sheria itakuwa thabiti .
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Natumaini ni jumamosi tulivu na nzuri kwenu uku wengine mkiwa mnamwagilia moyo , wengine mkiwa na familia zenu , wengine mkiwa kwenye nyumba za ibada mkimalizia sabato na wengine mkiwa kwenye biashara zenu
Niende kwenye point ,,,,,
Ndugu zangu mkiona MTU anaamua kutoa personal detail zake...
Habarini wanajukwaa, wakubwa shikamoni.
Leo nimepata invitation letter ya mwajiri nchini Europe jiji la ireland Dublin ila nimeambiwa niendelee na procedure za application form kama;
~ Europass CV
~ Motivation latter
~ National health form
~ Work permit form
~ Health insurance form
Hivi vyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.