Recent content by kaku ndollo

  1. K

    Nini husababisha hofu,wasiwasi na mashaka kwa mtu

    hivi dawa ya kutumia km tiba nyingine hamna kwenye tatizo la hofu?
  2. K

    Kwa hili alilolifanya Diamond, litamgharimu sana katika safari yake ya kimuziki

    watu wengine kazi hawana wanaingilia uhuru wa watu mwacheni afanye kitu roho inapenda nye vip? kwani huko ukawa kuna mtu kawalazimisha au mmeenda wenyewe,sasa kwa nini mnataka kumlazimisha mond?
  3. K

    Nay wa mitego kafunguka

    Andaeni ambulance mmeambiwa !
  4. K

    Nay wa mitego kafunguka

    yaaani mtaumbuka nyie ,tar 25 mbona sio mbali!
  5. K

    Ruge: Sugu, Lady Jay Dee waliniumiza kichwa

    sasa ubaya uko wapi ktk mashindano ya kutafita ulaji ? Ruge wakimbize tu! anaekubali atabaki ataeshindwa pita kule
  6. K

    Maumivu ya ndoa Vs maumivu ya uchumba

    bora uchumba maaana unaweza badili uelekeo sasa km ni ndani ya ndoa unafanyaje ? maumivu mara mbili.
  7. K

    Mchumba wangu kabadilika sana simuelewi

    kusoma hujui hata picha huoni?
  8. K

    Nashindwa kumsamehe mke wangu, ametembea na Mkurugenzi wa Ofisini kwake...

    mmmh! pole kaka hata hivyo una roho ngumu kuvumilia miaka minne! but je ulikuwa unatumia kinga ? maana huyo basi inaonekana ni mtu wa kubadilisha mabinti!
  9. K

    Tulianzisha kanisa feki pamoja, anafosi nimuoe, vinginevyo anamwaga mboga

    magumashi hamna kanisa ,makanisa ni yale ya mwanzo tuliyakuta basi
Back
Top Bottom