watu wengine kazi hawana wanaingilia uhuru wa watu mwacheni afanye kitu roho inapenda nye vip? kwani huko ukawa kuna mtu kawalazimisha au mmeenda wenyewe,sasa kwa nini mnataka kumlazimisha mond?
mmmh! pole kaka hata hivyo una roho ngumu kuvumilia miaka minne! but je ulikuwa unatumia kinga ? maana huyo basi inaonekana ni mtu wa kubadilisha mabinti!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.