Kawaida viongozi wenye cheo fanana wakiwa na uniform wote wanapiga saluti, ikiwa mmoja katika sare, Mwingine (mstaafu) kavaa kiraia atabana mikono tu badala ya salute, hiyo haiondoi hadhi ya cheo chake
Hata hajakosea na nina imani kwa level ile wanajadili na mteule kabla, mara nyingi kutokana na unyeti wa mkoa, mpakani aweza kumuomba amsaidie kwa kazi maalum kupitia uzoefu fulani na akakubali
Kinachomponza Iran ni kufadhili vikundi vya jihadi kujaribu kuifuta Israel ili wabaki na Gaza matokeo yake anawaponza hata hao wa Palestine, na sasa wanahangaika kung'oa mzizi
Ukisikia jirani yako anafanya mipango ya kukukodia majambazi ili wafute familia yako kisa mgogoro wa shamba utafanyaje au serikali itachukua hatua gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.