Wameisha sasa hao wazee, taarifa zilizokuwepo ni kuwa alikuwa amebaki tu huyo mzee baada ya wenzake 16 kuwa wametangulia mbele ya haki kwa nyakati.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi Ameni.
Elewa kilichozungumzwa na mkuu wa nchi we people.
Anasema watu wanaokwenda huko mamtoni ni walewale
Kama ukishughulisha vizuri bongo yako utaelewa anamaanisha nini.
Nimechukulia dhana ya uwajibikaji wa pamoja wa serikali kwamba kama serikali ya Jk inalalamikiwa kwa wizi na uzembe basi hata Magufuli hawezi kukwepa lawama za serikali aliyokuwemo,lakini ukweli unabaki palepale kuwa Magufuli kwa binafsi ametumikia nafasi alizopewa kwa uaminifu mkubwa na kujitoa...
Hata kwenye mbio unaweza kumfikia mtu aliyekutangulia hata kumzidi endapo endapo utaongeza mwendo.
Sisi ni wadogo katika uchumi,lakini kasi yetu katika ukuaji ndiyo itakayokuza uchumi wetu.
Si sahihi kupuuza kiwango hicho cha ukuaji.
Hayo ni madaraka yanaghusa zaidi ufanisi katika carrier husika ondoa mawazo yako ya kuona kila alipo mwanajeshi basi yeye ni mkubwa kuliko wengine wanaomzunguka.
Ingekuwa ni hivyo basi hata mawaziri wao wangekuwa wanajeshi wenzao mbona yupo Hussein Mwinyi sijui hata Jkt alienda lakini...
Watanzania wengi uelewa wetu katika masuala mbalimbali ya kitaalumu ni mdogo
Tunaokoteleza stori mitaani mwisho wa siku mtu anakomalia kitu utadhani ana uhakika nacho bila kujua kuwa watu wanaoelewa wanamchila tu.
Munawezaje kumshusha mtu aliyebobea katika utumishi katika taasisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.