Recent content by Kakijana

  1. Kakijana

    JamiiForums Tanzania Rais wa China atangaza Majeshi yakae tayari vita kubwa baharini

    Tukiangalia kwa upana udini unatumika kuficha muovu...wale jamaa wameenea dunia nzima kwa jina la 'al shaab, boko haram, sijui IS na hawa woote unaskia eti ni waasi ndani ya nchi fulani, wote hawa kuna mfadhili wao..na ukiunganisha mistari kama ya buibui popote penye hayo majina chunguza ni nani...
  2. Kakijana

    JamiiForums Tanzania Rais wa China atangaza Majeshi yakae tayari vita kubwa baharini

    Kwa uelewa wangu ni kwamba USA hawezi kupigana ana kwa ana. Ndio maana ana majeshi kwenye nchi za wenzake kuwazunguka adui zake Kitu ambacho hapendi na hataki ni chuma chochote cha kivita kugusa ardhi ya marekani, anachofanya ni kutumia mashinikizo ya kiuchumi aliyokwisha yaandaa miaka mingi...
  3. Kakijana

    JamiiForums Tanzania NATO hii inayotumia bajaji ndio yakupigana na Russia

    Huko china na korea unaenda kutafuta nini mkuu, hizo nchi unazotaja kila moja inajimudu pekeake, mfano USA vs Taleban...sio kama hao dada wa west mpaka waunde kikoba kwaajili ya mrusi mmoja kumpiganisha na ndugu yake ukrain + vikwazo "pakeji"12 na bado utamu uko palepale..acha kabisa Sipati...
  4. Kakijana

    JamiiForums Tanzania Waswahili bwana yaani Treni ya SGR Dar hadi Moro ni masaa 2 na dakika 20 mnafurahi na kushangilia!

    Nini maana ya "test" mkuu, means kujaribu kitu kama kinafikia malengo. So malengo ndio hayo masaa 2+ unamaanisha
  5. Kakijana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MSAADA: Nimedharirika Sana Jana mbele ya Mwanamke

    Mdogoangu acha kukaa vijiwe vya wanawake na kupiga nao stori kama shost yao Ile mentality ya kike inapunguza uzalishaji wa homoni zinazochochea kemikali za kudindisha mboo kwa muda mrefu... Pili usiwe na mdomo cement+kokoto+mchanga, angalia demu unaeona unammudu kwa maongezi ya kingono mwambie...
  6. Kakijana

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kuna hofu gani ndani ya CCM? Hizi kauli zinaashiria mpasuko au mmeguko?

    Kipara anahama "pasenja seet" aruke hend brek, automatik gia na kukaa siti ya "dere"..anaona mda ni mchache...anashinikizwa na "konda" wao anaeelekeza vituo vya kupanda na kushuka, si mnajua alikuaga "dere" hapo kabla? anaona anachelewa kukusanya maokoto yake aliyoyaacha kipindi ameacha "udere"...
  7. Kakijana

    JamiiForums Tanzania Mwamposa ni kopi halisi ya mwendazake TB Joshua

    Ulishawahi kutambika mkuu? Km jibu ni yes...huna tofauti nae, kilichobadilika ww ulitambikia mizimu(evil spirits) yeye amejikabidhi kwa (heaven spirits)
  8. Kakijana

    JamiiForums Tanzania Mwamposa ni kopi halisi ya mwendazake TB Joshua

    Hamfiikii alietangaza kubariki wanaofirana mkuu...
  9. Kakijana

    JamiiForums Tanzania Mwamposa ni kopi halisi ya mwendazake TB Joshua

    Jinsi zilivyo ibada za matambiko ya nguvu za giza vivyohivyo na kukemea pepo wachafu no njia hiyohiyo kwa kada zote mkuu, maana hayo mapambano ni baina ya human & spirits
  10. Kakijana

    JamiiForums Tanzania Je, Wanasimba tuendelee kufurahia ushindi wa mbeleko?

    Eeeh kweli, raja pia tulibebwa, ngoja tuone mechi ijayo...
  11. Kakijana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mnaovaa strap on acheni kutuharibia wake zetu

    Shida hiyo meli ikiona safari ina mawimbi mengi inakuja kutia nanga kwa mtoto wako wa kiume ikiomba awe nahodha wakati nanga zenyewe zimeshaota kutu..
  12. Kakijana

    JamiiForums Tanzania Ajali kama hii ingelitokea Barani Afrika au Asia watu wengi wangelikufa, kwakuwa imetokea Ulaya wamepona

    Jibu ni hili... Hiyo ajali haiwezi kutokea huku kwetu kwakua hatuna meli ya aina hiyo
  13. Kakijana

    JamiiForums Tanzania Yanga angepangwa kundi la Simba angekuwa anaongoza na angemaliza kundi na pointi 18

    Sio kweli...acha kudanganya
  14. Kakijana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri kuhusu kubadili dhehebu ili kufunga ndoa

    Hahampenda huyo mwanaume..
  15. Kakijana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri kuhusu kubadili dhehebu ili kufunga ndoa

    Kwakua ni mwanamke nakupa ushauri, badili kwa muda umsindikize kanisani kwao, ndoa ikishapita endelea kwenda parokiani kumpokea Yesu...sio dhambi..ukichelewa unawekwa pembeni anachukuliwa msabato bikra...(mm namfaham binti mmoja ana miaka 28 msabato ni bikra...wapo usikatae) Wasabato na waislam...
Back
Top Bottom