Recent content by kakaye

  1. K

    UKAWA na CHAUMMA wasema hawatashiriki uchaguzi mdogo ujao hadi kasoro zilizojitokeza uchaguzi uliopita zitatuliwe

    Hapo mnaposusa ndo wenzenu wanapeta hawaangalii kususa kwenu ni wera wera kwa kwenda mbele.
  2. K

    Polepole amjibu Lowassa(CHADEMA) kuhusu kusamehewa kwa Babu Seya

    Kila wakati nasemaga kua kama una hasira usiwaguse watu na vyama vyao. Yaani hapa sina mbavu nisomapo haya malumbano.
  3. K

    Msaada jamani

    Aina za mipauo ya nyumba
  4. K

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Wapigie idara ya ardhi na tanesco same utapata jibu la kutupatia
  5. K

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mbona ardhi ya wananchi wa same mjini mliochukua hamtulipi? Kilimo na ujnzi vyote vimesimama.
  6. K

    Wanaogiza Magari Japan, Kuweni Makini na Hii Kodi

    Ok hata hiyo used . mpaka kuingia mkononi mwangu ni sh?
  7. K

    Wanaogiza Magari Japan, Kuweni Makini na Hii Kodi

    Mimi naomba kujua bei ya r4 ukijumlisha mambo yote yaani mazagazaga ya wajanja na tra hadi liingie mkononi mwangu.
  8. K

    Waislam: Je, hamna Jaji aliyesomea sheria za kiislaum Tanzania?

    Una mkojo halali? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. K

    Kipandauso (migraine): Chanzo, Dalili, Tiba na jinsi ya kujikinga na tatizo hili

    Naomba msaada wa haraka kuhusu Dawa ya kipanda uso Sent using Jamii Forums mobile app
  10. K

    Matatizo ya Mzio (Allergies) Mbalimbali: Visababishi, Madhara, Kinga na Tiba

    Paka mafuta mazito kabla hujavaa hiyo kondom Sent using Jamii Forums mobile app
  11. K

    Genius Only: Ni Pipa Gani Litaanza Kujaa?

    Namba 11 Sent using Jamii Forums mobile app
  12. K

    PSPF,mfuko pekee wa pensheni unaoweka mazingira ya wazi ya rushwa kutoka kwa wanaodai mafao!

    Inaelekea wewe ni mfanyakazi wa pspf . watu wanahangaika pia kuna watu waliomba mkopo wa kujiandaa kustafu na waligharamika kupitia hatua zote .hadi sasa ni miaka miwili hakuna kitu . Sent using Jamii Forums mobile app
  13. K

    PSPF,mfuko pekee wa pensheni unaoweka mazingira ya wazi ya rushwa kutoka kwa wanaodai mafao!

    Kwani huo mfuko kuna watu bado wanajiunga nao? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom