Recent content by kaka2710

  1. K

    Hata waganga wa kienyeji tumeumizwa pia

    Nchi jirani soko la wataalamu wa tiba ya jadi kutoka TZ lipo,mnakubalika sana,sema sasa korona nayo imeleta shida. Mkiweza mpae na ungo muende nchi za wenzetu Nna swali pia,tofauti ya mganga na mchawi ni ipi?nna mpango wakwenda chuo kusomea fani mojawapo kati ya hizo mbili,na ipi inalipa na...
  2. K

    Tabia 10 mbaya zilizozoeleka makanisani mwetu

    Aliyeweka misingi ya kusema siku fulani ndiyo siku ya kwanza ya juma ni nani?Inakuwaje wengine wanaona jumamosi ndo siku ya kwanza na wengine wanaona siku hiyo ndo ya mwisho wa juma,na wengine wanaona jumatatu ndiyo siku ya kwanza ya juma na jumapili kuwa siku ya saba?siku ya saba ni...
  3. K

    Tabia 10 mbaya zilizozoeleka makanisani mwetu

    jirani yako amekosea jambo fulani au amefanya jambo ambalo ni kero labda katupa taka katika eneo lako,unapaswa kufanya kipi?kwenda kumuambia ili ajirekebishe au kukaa tu kuzungumza jambo hilo na familia yako? au kumsema ofisini kwako?Nenda kamwambie bwana umekosea hapa utaratibu ni huu,haya...
  4. K

    Tabia 10 mbaya zilizozoeleka makanisani mwetu

    Yaseme na yale mabaya ambayo vongozi wanayafanya kanisani au kwa waumuni wao. 1.Kuweka viti vya mbele kwa ajili ya wale wanaotoa sadaka na misaada kwa wingi. 2.Kutembelea familia/misiba,/sherehe za wale watoa pesa nyingi na kutenga familia za waumini wengine. 3.Kula sadaka na kutozipeleka...
  5. K

    Mkazi wa Ruaha Mbuyuni tuwasiliane kuna Kilimo nahitaji kukifanya huko

    Nikushauri tu,nenda mwenyewe mpaka hapo,fika elezea jambo lako,utapata wahusika utaelekezwa na utakuwa umejionea kwa usahihi,Kilimo hakifanywi kwa Blue tooth,wengi wamelia kwa kufanya kilimo kwa njia ya simu.Ruaha Mbuyuni kumeinua wengi na KUMEWALIZA wengi,kuna watu walikuwa wanaishia gesti tu...
  6. K

    Msilete Umjini wenu mkija kuzika kijijini

    NO.why not mixing with your fellow mourners,why not participating fully on funeral activities?
  7. K

    Msilete Umjini wenu mkija kuzika kijijini

    Ndo maana tunakujaga na magunia ya mahindi na maharage.mihogo n.k
  8. K

    Msilete Umjini wenu mkija kuzika kijijini

    Wakumbushe kaka,sio wanakuja kazi kuongea wao kwa wao ,wanapigiana story za mjini,wanasumbua watu ooh kanichajie simu,wapi kuna bia?ukienda kuzika shiriki mwanzo mwisho,hapo ndo chimbuko letu,na ndo tutakapozikiwa,tuheshimu tunaowakuta,tabia ya kuwa bize na smartphone msibani na kupigiana stori...
  9. K

    GE2020 Tundu Lissu: Kutoka kuwa mtafuta kura za huruma mpaka kuwa mchochezi ambaye anaachwa avunje Sheria

    Tunamshukuru sisi tuliosomea ualimu wa shule ya msingi tumetangaziwa ajira,ana faida zake,huyo ndiyo mpinzani
  10. K

    GE2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

    Ukweli ni chama kikongwe hapa nchini,ila kinakasoro.kina ma GREAT THINKER kweli?
  11. K

    Umeshawahi kunusurika kifo? Tuelezane ilivyokuwa, kama njia ya kumshukuru Mungu

    kama tumbili,nadhani usela uliishia hapo hapo,Mungu alikunusuru
  12. K

    Nipe nyimbo zako kali za ki-Congo

    kimpakisangameni-Franco Vewe(Vw)-Franco Kasongo-Ochestra Super Mazembe Africa-Francklkin Boukaka Force de Frape-Kofi Olomide Masuwa-JB Mpiana Mamu-Madilu Frere Edoard-Madilu
  13. K

    Msaada: Nimuambie mke wangu kama nina mtoto nje ya ndoa?

    sana,yale tusiyoyataka kuyafanya ndiyo tunayafanya
Back
Top Bottom