Tatizo lenu! mnataka chama cha siasa kiendeshwe kama kikundi cha kwaya.mmesahau kama hao ni wanaharakati. kwani hao wanaojiita wanamapinduzi hayo mapinduzi yalifanyikia mezani au ofisini.
kuna mambo yanatia hasira.
Hatuwezi kusema nchi ina maendeleo.ikiwa wanainchi wanakimbizwa kila siku na hao ndio walipa kodi wanao garamia uchaguzi!
zinakuja siku zilizo mbaya ambazo jiwe halisalia juu ya jiwe lingine.
Mkuu umenikosha sana! majibu murua na yanayojitoshereza. watu kama we we Ndiyo wanatakiwa humu GT.sio huyo mpuuzi wa kujua mambo.Fanya utume namba yako ya M.pesa niktumie japo ya supu mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.