Recent content by KAKA T

  1. K

    HESLB hawashirikishi ubongo.

    Hiyo orodha ya majina imebandikwa ?au ni ya kisirisiri?manake ktk web yao siioni....
  2. K

    Wabeba Box Wengi Wakirudi Wana Make Things Happen Nyumbani! Tofauti na Wahapahapa!

    KANUNI:mafanikio ni popote. Usikurukupe kwenda sehemu kwa kufikiria kuwa utakuta bakuli la mafanikio kirahisirahisi. Usiilaani sehemu kama ndiyo kikwazo ktk mafanikio yako,angalia miundombinu ya kichwani imekaaje kukabiliana na changamoto na pia kutumia fursa zinazokuzunguuka.
  3. K

    Baadhi ya Watanzania waishio nje ya nchi ni wazito linapokuja suala la Mageuzi ya Tanzania

    WENGI tuna uanaharakati ambao hauupi kipaumbele uzalendo na utaifa wetu.Tusisukumwe na matatizo yetu kuwa wanaharakati,bali tufanye harakati tukiwa na free mind kutatua yanayoisibu jamii.Ndio maana mtu makini hawezi kuunga mkono harakati zozote zinazoigawa ama kuidhoofisha jamii.Wananchi...
  4. K

    Tabia hii si nzuri na niya hatari kwa CHADEMA, badilikeni

    100%√√√√√√√√√√
  5. K

    Mkasa wangu: Usimsaidie mtu mzigo uwanja wowote wa ndege ni hatari sana

    Daa!!Hiki kitu kilinitokea safari moja.dada mmoja wa kizungu alitaka nimbebee kamzigo kake,halafu nimpe nikishapita sehemu ya ukaguzi,ktk jengo la kusubiria usafiri.pengine aliniona mi kama dogo,sitakuwa na "noma" lakini hakujua mimi ni mtoto wa "uswazi",michezo ya kariakoo naijua.NILIMWAMBIA...
  6. K

    msaada juu ya tethering na hotspot download speed mbaya

    Hujabainisha kifurushi gani unatumia,pengine ndiyo tatizo
  7. K

    Haya ndiyo matokeo ya kukimbia shule, masikini CHADEMA...

    Kama haya ndiyo maoni halisi ya watu ,basi tuna njia ndefu sana ya kuelekea tunakotaka kufika.Nilichokiona hapa, ni mawazo mgando kwa asilimia 99.99.Bora tufe ,wazaliwe wengine.MASKINI WEEEE!!!!!!!!
Back
Top Bottom