Recent content by Kaka Sai

  1. Kaka Sai

    Nahitaji kioo cha Samsung Galaxy S7 edge kilichotumika

    Mwenyekioo cha hii simu anicheki haraka, Kiwe used. Offer chini ya 100k. Maeneo ya Dar, Moro na Dom tunaweza kuwasaliana kwa haraka zaidi. Mawasiliano 0715175518.
  2. Kaka Sai

    Plot4Sale PUNGUZO KUBWA LA BEI

    SITE INAUZWA MAHALI: MSIGANI-MADALE, DAR ES SALAAM KM 6 KUTOKA TEGETA KIBAONI BEI 26M Contact 0767175518 KUNA FRAME TATU ZA BIASHARA PIA SITE INA vyumba vitatu viwili ni self contained ukubwa wa vyumba ni 4 kwa 3 mita viwili, na 3 kwa 3 kimoja Pia kuna choo kimoja cha public Jiko DH na...
  3. Kaka Sai

    Kiwanja kinauzwa

    MAHALI: MSIGANI-MADALE, DAR ES SALAAM KM 6 KUTOKA TEGETA KIBAONI BEI 30M Contact 0686621567 mwenye Site (KAKA SAI) kwa mnunuzi tu mwenye nia KUNA FRAME TATU ZA BIASHARA SITE INA vyumba vitatu viwili ni self contained ukubwa wa vyumba ni 4 kwa 3 mita viwili na 3 kwa tatu kimoja Pia kuna choo...
  4. Kaka Sai

    Natafuta mwanamme wa kunioa.

    Tegemea kuwapata wengi tuu.. Ingawa uhamisho umesitishwa sasa.. Itabd umsubili huko huko bush mpk likizo Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Kaka Sai

    Vyeti UDSM hutoka baada ya muda gani baada ya mahafali?

    Kuanzia wiki ijayo kachukue chet chako, nyerere campus
  6. Kaka Sai

    Nahitaji TV flat used

    LED, na pia kuna mazungumzo ya offer
  7. Kaka Sai

    Nahitaji TV flat used

    Ungekuwa Dar ingekuwa rahis, Chuga mbal kidogo, ni vitu vyenyew una test afu ndo unalipa
  8. Kaka Sai

    Nahitaji TV flat used

    Iwe inchi 24 Offer 150. Namba 0715175518 Mahali DSM
  9. Kaka Sai

    Sheikh Ponda ameripoti Kituo Kikuu cha Polisi leo, asindikizwa na jopo la wanasheria

    Mpk ifike 2025 kama cyo 2029 tutaona mengi kwny huu utawala
  10. Kaka Sai

    Wasomi waliofeli maisha ndio wanaoichukia CCM na serikali yake

    Huyu jamaa anawashwa washwa c bure
  11. Kaka Sai

    Ukweli Kuhusu (PGDE) Post Graduate diploma ya Education

    Kwa mtu Mwenye ufahamu juu ya PGDE naomba anijuze kama mtu Mwenye Bachelor Degree kutoka fani zingne kama Civil Engineering, IT n. K anawezaje kuchukua Masomo ya kufundishia pindi akihitimu PGDE yake, Mfano IT shule nyingi serikalini hazina Somo la Tehama, ataweza kufundisha Somo lipi lingine...
  12. Kaka Sai

    Nini kipo nyuma ya kushusha viwango vya kujiunga degree kwa diploma na kuacha kushusha kwa form 6?

    Zamani kulikuwa Kuna ordinary diploma tuu... Sasa imeongezeka higher diploma ambapo Muhitimu wa form Six Mwenye ufaulu wa atleast E mbili ndo anaweza kusoma higher diploma. Hvyo kusoma Advanced diploma kwa form Six lazima iwe juu ya higher diploma... Muhitimu yapaswa kupata atleast D mbil ili...
Back
Top Bottom