Recent content by KAKA NASOKI

  1. K

    Hivi kwanini mwanamke akifiwa na mume wake anaanza kupendeza na kunawiri?

    Wanaanza kupata kila siku tena virutubisho vya aina mbalimbali
  2. K

    Namna mchawi sugu alivyouawa

    Kuna mchawi mmoja katika kijiji kimoja, jina la Kijiji limehifadhiwa. Huyu mchawi aliua vijana wengi sana, kwa mfano Kijana akija mjini siku akirudi nyumbani na kupeleka zawadi kwa wazazi wake, asipo mpelekea na yeye, ni kosa unastahili kufa au hata ukipeleka zawadi kwa wazazi inayozidi ya...
  3. K

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nimeibibiwa Meter ya LUKU, tangu niripoti hawajawakamata wahusika, je hawanunui umeme? TANESCO
  4. K

    Miujiza ya uponyaji na kufanikiwa kiuchumi

    Wengi waongo, wachache ni kweli ila sio kwa hawa manabii
  5. K

    Nionesheni bodaboda aliyeagiza gari Japan au China kwa kipato cha bodaboda niache kazi ya utumishi wa umma ndani ya saa 24

    Kustaafu u-boda boda (Maafisa usafirishaji) ni kupata kilema au kufa. Mi naomba kuonyeshwa mtoto wa Kiongozi yoyote, hata wa nyumba ndogo ya viongozi ambaye ni bodaboda (mbado, nasema mbado).
  6. K

    Moshi mweupe katika ndege zinazopita angani juu zaidi

    Tulikuwa tunaita roketi, tuliambiwa imeundwa mahsusi kusafirisha almasi/dhahabu toka Afrika Kusini kwenda Ulaya na haiwezi kutua kiwanja chochote ila ina viwanja vyake maalum
  7. K

    Kali ya Mwaka 2023! Huduma kwa Wateja Tanesco haiko hewani

    Hata hizi simu hapa jamiiforums hazipo hewani kabisa
  8. K

    January Makamba si ujiuzulu tu kaka, unatutesa sana

    Akawe msemaji wa timu ya Mlalo academy, uwaziri hawezi. Kama kweli angekuwa anatambua yanayoendelea kwenye Wizara yake angetuambia amekwama wapi. Umeme ni kutwa nzima hakuna lakini waziri yupo, Wizara ipo na TANESCO ipo.
  9. K

    Kuna jambo linasahaulika kuhusu Rais Samia

    Ila tozo zime pungua na mgawo wa umeme umepungua?
  10. K

    Kwa wimbi hili la Watanganyika kuhamia Zanzibar, tujiandae wazanzibar kupoteza utambulisho wetu ndani ya miaka kumi ijayo

    Hivi tukirudisha Wapemba wote kwao watakaa wapi huko? Kwanza wakiondoka meneo mengi ya biashara yatabaki wazi kwaajili ya Wabara walioko huko na Haki ya mama wakisikia wapemba wamerudi kwao, fasta watrudi bara kufanya biashara zao. Ukifanya biashara na Mpemba ni ushirikikina, kwenda mbele sema...
  11. K

    Askari wa wanyamapori wanaona mifugo ila majangili hawaoni

    Inasikitisha kuona nyara za serilkali zinakamatwa ikiwa tayari zimevunwa, iki maanisha wanyama wameshauwawa nyama, ngozi na pembe zao kunyofolewa. Najiuliza, ng'ombe wa wafugaji wanaingia porini kimyakimya lakini wanawasikia na kukamata, majangili wanaingia kwa magari yenye mingurumo na kuuwa...
  12. K

    Kwanini Waislam wengi hawana majina ya kiasili?

    kama Kama sikosei ilitokea wakati wa vita vya kugombea urithi wa Mtume kati ya Mjomba na Mjukuu sijui Kitukuu, wale walioshindwa vita wengi walikimbilia pwani ya Afrika hususan Afrika mashariki na visiwa vya bahari ya Hindi. Hao wakaacha kuutmia majina ya koo zao ili wasijulikane wako upande...
  13. K

    Kuna limbukeni mmoja anatamka huko bodaboda sio kazi

    Kampeleke mwanao asomee udereva wa Bodaboda. Hii picha ni nchi zenye dhiki kama yetu - Uturuki
Back
Top Bottom