Recent content by kaka mkweli

  1. kaka mkweli

    Rais Magufuli afanya kikao na Sekretarieti ya CCM

    Mzee safi sana hana makuu kabisa mzee wa watu, si mwingi wa maneno ila vitendo anavijua itabidi awe mentor wangu huyu maana bila hivyo chama wataachiwa watu wa ovyo kweli
  2. kaka mkweli

    Rais Magufuli afanya kikao na Sekretarieti ya CCM

    oh kumbe tupo wengi tunaomkubali vema sana
  3. kaka mkweli

    Rais Magufuli afanya kikao na Sekretarieti ya CCM

    Philip Japhet Mangula best politician, namkubali sana huyo mzee itabidi nimtafute tupigie nae stori kuna vitu vingi nitajifunza toka kwake
  4. kaka mkweli

    CHADEMA watangaza kuanza operesheni ''Umoja wa Kupambana na Udikteta Tanzania" (UKUTA)

    Mkishatoka oparesheni UKUTA anzisheni oparesheni UKUDA maana nyie ni wakuda balaa hamjielewagi sijui nani aliwaroga, itabidi nimuite mshenga awaaombee Eti vinasema mahakama inaingiliwa tena vinasema wanasheria wao waangalie mambo ya kisheria hivi hayo mambo ya kisheria vitayapeleka chooni...
  5. kaka mkweli

    Kwanini swahiba wake Lowassa, Msindai kaamua kurudi CCM?

    Kigogo mwingine si Wolper au Ritz umemsahau
  6. kaka mkweli

    Tanzania ilimuhitaji Magufuli, lakini sio huyu.

    Uozo huwa haueleweki
  7. kaka mkweli

    Tetesi: Kinana hajapenda kuendelea na kazi ila hana namna

    Kwa hiyo kada maarufu ndio msemaji wa hisia za kinana, hapa hauhitaji elimu ya veta kujua kuwa aliyeandika kanywa kiroba cha mwendokasi
  8. kaka mkweli

    Tanzania ilimuhitaji Magufuli, lakini sio huyu.

    Nimesoma mara kumi kumi lakini sielewi alichoandika, sijui anaota huyu....makamanda wa viroba hawa mbona shida
  9. kaka mkweli

    Zitto: Msomeni Putin mtajifunza mengi yanayoendelea nchini

    Huyo anaweweseka na zimwi la NSSF
  10. kaka mkweli

    CHADEMA imetusaliti wengi

    Pole wewe uliyekuwa unajua CHADEMA ni chama ile ni kampuni mwenye hisa nyingi ndio CEO anaamua uelekeo wa kampuni
  11. kaka mkweli

    Hii nchi imevunja rekodi kuwa na wanasiasa wa ajabu sana duniani

    Tanzania haina upinzani ina geresha......ukibisha sikubishii muda wa kubishana na mwehu sina
  12. kaka mkweli

    Je umaarufu wa Mzee Lowassa umeporomoka au umeongezeka??

    Umaarufu wa kuchangia makanisa na misikiti kwa sasa umeshuka....Ila umaarufu kwa makamanda wa viroba unazidi kupaa maana hata wakitoswa na mademu zao wanahisi kwa sababu jamaa yao aliukosa urais Yupo kwenye vichwa vyao na mioyo yao daima milele kama posho itapatikana
  13. kaka mkweli

    Kutokana na hali inavyokuwa tete kiuchumi/Siasa leo ungefanyika uchaguzi ungechagua chama gani??

    KakaKiiza mie mwalimu natoa elimu kote, raha yangu kuona watu wanaelimika sio wanadanganyika
  14. kaka mkweli

    NSSF, BOT, Bandari, TRA, Bunge, PSPF ajira zitenguliwe

    Aisee naunga mkono hoja
  15. kaka mkweli

    Kutokana na hali inavyokuwa tete kiuchumi/Siasa leo ungefanyika uchaguzi ungechagua chama gani??

    Kiswali cha hicho, eti kinasema hali tete ya uchumi halafu ungechagua chama gani. Yaan mtu anatumia variables mbili ambazo hazina direct relationship kwa maisha ya mtu mmoja mmoja. We ndugu piga kazi uliowachagua wanatafuta hela na wewe tafuta hela mzee acha kulalamika acha watu waendelee...
Back
Top Bottom