Tanzania ilimuhitaji Magufuli, lakini sio huyu.

lil wayne

JF-Expert Member
Apr 15, 2016
992
904
Tukianza kwa kuzungumzia hali ha Taifa hili miaka 10 iliyopita, utagundua kuwa nchi ilikuwa Mahututi kupita kiasi. Hata wananchi wake walifika hatua ya kukata tamaa na Taifa lao. Ghafla mapenzi na taifa lao yalipotelea pasipo julikana.

Hali ilikuwa mbaya kiasi kwamba kama ungepata bahati ya kuingia kwenye mioyo ya watanzania mmoja baada ya mmoja ungeliona kiu ya uhitaji wa ujio wa kiongozi ambaye angeweza badilisha hali.

Ni kweli watanzania walihitaji kiongozi imara zaidi ya yule wa awamu iliyopita. Wengi waliaminishwa kuwa huyu mpya ndiye "mwenyewe", hata wakatolea mifani CHANYA ya jinsi alivyokuwa akiongoza wizara yake, ambako nako kulikuwa na madudu ya ajabu.

Ila ukweli ni kwamba huyu anafanana na yule ambaye watanzania wengi waliomtegemea, na wala si kiongozi halisi aliyengojewa. Kuna baadhi ya watu waligundua mapema kuwa huyu sie lakini wakapiga mioyo yao konde na kusema hebu ngoja tuone kipi kitatokea.

Ukweli ni kwamba watanzania wengi tulimngoja yule mwenye uwezo wa kusimamia misingi na kanuni za kiuongozi ambazo zingemsaidia kufikia "Tanzania mpya" bila kuyumbisha taratibu na misingi ya kiuongozi. Watanzania Hawakutegemea kiongozi "ANAYEPWAYA" kiasi hiki kama huyu wa sasa. Ila kwa kuwa alochaguliwa na wachache, tunaona ngoja tuone mwisho wake.

Tunasikitika kupoteza miaka mingine kwa kufanya majaribio ya kiongozi kama ilivyokuwa awamu iliyopita.
 
Kichwa cha thread ni kizito kuliko contents.
Hata Yohana alipotuma wanafunziwake Wakajilidhishe kuwa yule yesu wa nazareti ndiye masihi au LA!
Yesu aliwapa kazi zake alizozifanya. Sasa mleta uzi ulipaswa kuweka deep analysis na creteria za tunaemngoja na huyu tulienae kama ndiye
 
Tukianza kwa kuzungumzia hali ha Taifa hili miaka 10 iliyopita, utagundua kuwa nchi ilikuwa Mahututi kupita kiasi. Hata wananchi wake walifika hatua ya kukata tamaa na Taifa lao. Ghafla mapenzi na taifa lao yalipotelea pasipo julikana.

Hali ilikuwa mbaya kiasi kwamba kama ungepata bahati ya kuingia kwenye mioyo ya watanzania mmoja baada ya mmoja ungeliona kiu ya uhitaji wa ujio wa kiongozi ambaye angeweza badilisha hali.

Ni kweli watanzania walihitaji kiongozi imara zaidi ya yule wa awamu iliyopita. Wengi waliaminishwa kuwa huyu mpya ndiye "mwenyewe", hata wakatolea mifani CHANYA ya jinsi alivyokuwa akiongoza wizara yake, ambako nako kulikuwa na madudu ya ajabu.

Ila ukweli ni kwamba huyu anafanana na yule ambaye watanzania wengi waliomtegemea, na wala si kiongozi halisi aliyengojewa. Kuna baadhi ya watu waligundua mapema kuwa huyu sie lakini wakapiga mioyo yao konde na kusema hebu ngoja tuone kipi kitatokea.

Ukweli ni kwamba watanzania wengi tulimngoja yule mwenye uwezo wa kusimamia misingi na kanuni za kiuongozi ambazo zingemsaidia kufikia "Tanzania mpya" bila kuyumbisha taratibu na misingi ya kiuongozi. Watanzania Hawakutegemea kiongozi "ANAYEPWAYA" kiasi hiki kama huyu wa sasa. Ila kwa kuwa alochaguliwa na wachache, tunaona ngoja tuone mwisho wake.

Tunasikitika kupoteza miaka mingine kwa kufanya majaribio ya kiongozi kama ilivyokuwa awamu iliyopita.
1469389846420.jpg
 
Tukianza kwa kuzungumzia hali ha Taifa hili miaka 10 iliyopita, utagundua kuwa nchi ilikuwa Mahututi kupita kiasi. Hata wananchi wake walifika hatua ya kukata tamaa na Taifa lao. Ghafla mapenzi na taifa lao yalipotelea pasipo julikana.

Hali ilikuwa mbaya kiasi kwamba kama ungepata bahati ya kuingia kwenye mioyo ya watanzania mmoja baada ya mmoja ungeliona kiu ya uhitaji wa ujio wa kiongozi ambaye angeweza badilisha hali.

Ni kweli watanzania walihitaji kiongozi imara zaidi ya yule wa awamu iliyopita. Wengi waliaminishwa kuwa huyu mpya ndiye "mwenyewe", hata wakatolea mifani CHANYA ya jinsi alivyokuwa akiongoza wizara yake, ambako nako kulikuwa na madudu ya ajabu.

Ila ukweli ni kwamba huyu anafanana na yule ambaye watanzania wengi waliomtegemea, na wala si kiongozi halisi aliyengojewa. Kuna baadhi ya watu waligundua mapema kuwa huyu sie lakini wakapiga mioyo yao konde na kusema hebu ngoja tuone kipi kitatokea.

Ukweli ni kwamba watanzania wengi tulimngoja yule mwenye uwezo wa kusimamia misingi na kanuni za kiuongozi ambazo zingemsaidia kufikia "Tanzania mpya" bila kuyumbisha taratibu na misingi ya kiuongozi. Watanzania Hawakutegemea kiongozi "ANAYEPWAYA" kiasi hiki kama huyu wa sasa. Ila kwa kuwa alochaguliwa na wachache, tunaona ngoja tuone mwisho wake.

Tunasikitika kupoteza miaka mingine kwa kufanya majaribio ya kiongozi kama ilivyokuwa awamu iliyopita.
Ukiona adui anakushangilia sana,kaa chini jiulize 'hivi ni wapi nilipo kosea'! Ukiona adui analialia elewa umemtwanga kandamiza hapohapo. Kilio kama hiki ndiyo kinaitwa kilio cha 'wanufaika'.Teh teh teh.
 
good heading with an empty content.
Alaf mie nimekuwa nikijiuliza maswali mengi, kwa nini mashabiki wa ukawa kila mara wanasema waliibiwa kura huku mgombea mwenyewe na muambata wake wa karibu ndugu sumaye wanasema walishindwa kihalali??? tena wanayasema haya mara kibao!.

msipojitathmini na kutatua tatizo lililosababisha kushindwa kwenu mkakaa kusingizia eti mliibiwa kura zenu mtaendelea kuangukia pia kila uchaguzi.

mpo sawa na mwanafunzi aliyefeli na kusingizia eti ni kwa sababu hakuwa na umeme alisoma kwa kibatari kumbe ni material feki. wa hivi hata akifungiwa umeme atafeli tu maana hajatambua tatizo lililomfanya afeli mtihani.

shime wana ukawa, achene kujivisha ujuha na kuwaza kila siku eti mliibiwa kura. nendeni vijijini mkasimike mizizi ya chama, sio kukaa mijini mnaandamana.
 
Wenyewe wanasema Chaguo La Mungu!! Na ktk hawamu Mungu anahusishwa kwenye kauli za uongo ili zioneka kweli
 
Back
Top Bottom