Recent content by kaka-blaza

  1. K

    Suala la kumiliki klabu ya mpira zaidi ya moja

    Leipzig (Germany) New York Red Bulls (US) RB Bragantino (Brazil) -RB salzburg (Australia Kumbe RB Saltburg ni ya Australia?. Nilidhani ni ya Austria
  2. K

    Simba yamalizana na Waamuzi wa Mechi Yao ya Kesho

    Tutajie basi majina ya waamuzi wa mechi hiyo ya kesho .
  3. K

    Usiegemeze maisha yako kwenye Chama cha siasa

    Kila jambo lina mwisho wake. Sio kwenye siasa tu , hata kwenye maisha mengine hali ndio iPo hivyo. Iwe kwenye mpira, muziki, maofisini na sehemu yoyote. Mamlaka yana mwisho wake,.
  4. K

    Yanga hatofuzu kwenda makundi, naiona draw kwa Mkapa

    Ni kweli yanga alifanya comeback ya kibabe ya kushinda 4 kwa Mkapa msimu uliopita . Ila kusema aliingia fainali ni uongo
  5. K

    Yanga hatofuzu kwenda makundi, naiona draw kwa Mkapa

    sasa mbona kichwa cha habari kinasema kwenda makundi.. makundi gani tena hayo?
  6. K

    Che Malone awaomba radhi Wanasimba

    Siungani na huo utaratibu wa kipuuzi ambao unataka kuanzishwa. Yani mtu afanye makosa ya kiutendaji wakati wa kutekeleza majukumu yake ya msingi , then aje aombe radhi kwa maandishi. kwahiyo itakuwa kila goli likifungwa tunatafuta nani kasababisha ili nae aje atuombe radhi. kitu cha msingi...
  7. K

    PreGE2025 Katavi: CV za Wabunge mwaka 2020 - 2025. Mbunge wako ametimiza ahadi zake?

    Mbona namba 2 haujaweka michango yake bungeni.
  8. K

    Mpira ni nini? Kama ni pesa, mbona Marekani wanazo na hawajawahi kutwaa kombe la dunia? Kama ni vipaji, mbona vimejaa Afrika na hatufanyi maajabu?

    Sio kwenye mpira tu, bali kwenye kila jambo mafanikio yanahitaji mipango.. Marekani wana PESA ndio, Afrika tuna VIPAJI ndio, ila wenzetu Ulaya wana MIPANGO.. ukiwa na mipango utatengeneza mikakati ya kufanikiwa kulingana na mazingira uliyopo.
  9. K

    Ronaldo: Vini Jr alistahili kushinda tuzo ya Ballon d'Or

    ina maana kufunga mechi ya fainali tu ndio ameona kigezo muhimu? Asiweke mahaba yake kwa mchezaji anayechezea timu yake ya zamani na kutaka wote tuyafuate
  10. K

    Pole mashabiki WA Mam U na Chelsea kwa matokeo mliyopata leo

    yani unapata nguvu ya kuiponda Chelsea hii ya sasa hivi? hata kama amekuchania mkeka ila kwa kuiponda hivyo.
  11. K

    King Mseke, mtoto wa Joh Makini aanza mafunzo ya Soka kwenye Academy ya Manchester City, Uingereza

    Wabongo kwa nongwa hawajambo. Yani dogo bado hajaanza hata majaribio kuona kama atafanikiwa au lah. tayari wabongo washaanza kumsema eti hana mwili wa boli.
  12. K

    Ligi yetu imeshuka sana kiwango

    we naye umekuja tu kuandika bila hata kuwa na Tathmini ya kina. yani kutofanya vizuri Chan ndio kigezo cha ligi kushuka kiwango? Nani amekwambia ligi inachezwa na wachezaji wazawa pakee? halafu kufungwa kuna sababu nyingi , sio uwezo mdogo tu. Inaweza kuwa kukosa muunganiko au mbinu hafifu...
  13. K

    Azam FC Kuanzia round ya kwanza CAF ni ipi sababu?

    Wakuu kwa yeyote mwenye kufahamu sababu iliyofanya Azam Fc kuwa timu pekee kutoka ukanda huu wa Afrika mashariki kuanzia round ya kwanza kombe la shirikisho, ilhali hata Simba ambaye wachambuzi wengi walikuwa wameshatuaminisha kuwa ataanzia hatua ya kwanza nae ameanzia hatua ya awali kombe la...
  14. K

    Swali fikirishi usaili wa Sensa ya watu na makazi 2022

    asante mkuu. tuma na hiyo pepa ya chini yake iliyofichika. maana kuna maswali mengine bado
Back
Top Bottom