Well said,kuna kazi kubwa sana kuelimisha vijana wa sasa wengi hawapendi kujituma kimwili na kiakili unaeza shangaa hapo ana smartphone ya laki kadhaa na vocha hakosi!!
Siwezi kujua part no sababu lazima kubomoa TV hiyo itakua kazi yako kama fundi fatilia hiyo model no niliyotoa utapata part no mkuu niko hapahapa Bongo town
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.