Nnimegundua chuki za watanzania ni kwa sababu ya visasi tu....eti walimtukana el...who is el by the way...yaan tuhuma ni kwa sababu ya reference fulani...mwishowe ukawa huyoooi...
lazima kutapatapa kwa sababu kiumbe kinabadilisha mfumo wake wa kuishi ..kwa hyo mwili bado unahitaji kupata ATP kama kawaida ..na kadri spidi ya kutapatapa inapokua kubwa ndo energy (ATP) inaisha haraka
Ujinga mtupu...kipima cha utendaji kazi kwa mtumishi wa umma ni ajira ya mkataba?sio wazo la Ukawa hili acha kusingizia watu.Somesha motto wako sio kuhesabu familia Fulani wote wafanyakazi wa umma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.