Recent content by kajugu

  1. K

    Tundu Lissu: Tusishabikie maamuzi ya kijinga kwasababu tu yamefanywa na Rais

    Sasa mbona hatoi suluhisho....wanashabikia tuibiwe...kisa tu rais ndo kazuia Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
  2. K

    Jeshi letu linaonyesha umahiri wa kupigwa na tofali zama hizi!? Hawaoni wenzao huko duniani?

    Jaribuni nyumbani zile show Alaf nor n.a. hizi kauli Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
  3. K

    Mambo 10 kuhusu Kachero J. Edgar Hoover wa FBI

    Very interested....ila walipitia kiapo kikali. ..kutooa au kuolewa...basi hata part time mtoko. ..
  4. K

    Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

    Nnimegundua chuki za watanzania ni kwa sababu ya visasi tu....eti walimtukana el...who is el by the way...yaan tuhuma ni kwa sababu ya reference fulani...mwishowe ukawa huyoooi...
  5. K

    Pigo Kubwa kwa CHADEMA: Babu Duni Ameipiga Chini CHADEMA!

    Suala la muda tu..kila mmoja atarud alipotoka...itabaki skeleton tu.
  6. K

    Lowassa njoo Kusini na UKAWA tulipize kisasi cha dhulma za CCM

    We mmakonde vp...umedondoka mtini nn?
  7. K

    Bomu la Nyuklia: Jielimishe hapa

    formula ya nyuklia E=mc2
  8. K

    Kwanini binadamu na wanyama wote wakiwa wanakata roho hutapatapa?

    lazima kutapatapa kwa sababu kiumbe kinabadilisha mfumo wake wa kuishi ..kwa hyo mwili bado unahitaji kupata ATP kama kawaida ..na kadri spidi ya kutapatapa inapokua kubwa ndo energy (ATP) inaisha haraka
  9. K

    Ajira za Umma ziwe za mkataba usiozidi miaka 3 na kwa Mihula Miwili tu

    Ujinga mtupu...kipima cha utendaji kazi kwa mtumishi wa umma ni ajira ya mkataba?sio wazo la Ukawa hili acha kusingizia watu.Somesha motto wako sio kuhesabu familia Fulani wote wafanyakazi wa umma...
  10. K

    Msuya atueleze aliko Sokoine

    Nadhani kauli ya msuya imewagusa wapambe Fulani kiasi kwamba leo wanakumbuka tuhuma zake...yaani bongo bana usiseme kitu..
Back
Top Bottom