Yuko sahihi kabisa kwa sababu mashine hiyo iliyopotea inasemekana wahusika ni watumishi wa hospitali hiyo,ila tu labda angewakata hata awamu tatu ili kupunguza ukali wa maisha
Mhalifu ni mtu wa kulalamika tu siku zote,wapo waliokili wakafungwa hiyo 30,walipoanza kutumikia vifungo vyao wakapata wanasheria wakaanza kukata rufaa,hawa watu si wakuwaamini asilimia mia moja
Hiyo ni miradi kama miradi mingine,ulitaka awe anashida kwenye bar ndiyo aonekane ana pesa,usipende kujadili maisha ya watu,pengine huyo unayemcheka anamaisha mazuri kuliko hao wengine unaowajua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.