Recent content by Kajoboy

  1. Kajoboy

    Marekani hatimaye wakiri: Korea ya kaskazini wanaweza kupiga POPOTE duniani.

    Kiujumla US ni taifa lenye wanasayansi wenye kiburi sana yaan.huwa hawataki kushindwa.hivyo kwa ushindi ambao korea kaskazini wameuchukua.waanze kujipanga.kwani kunakitu kinaandaliwa US ili kuulinda ushindi wao.
  2. Kajoboy

    Naomba ushauri Boxer na TVS , ipi nzuri?

    OK lakini kuna pikipiki zinaitwa TVS kwa sasa.na dhani ni kampuni moja.
  3. Kajoboy

    Naomba ushauri Boxer na TVS , ipi nzuri?

    Boxer na Tvs ipi ni pikipiki bora zaidi
  4. Kajoboy

    Wasifu wa Agnes Marwa, Mbunge wa CCM aliyekataa Bunge Live

    Tufanye yetu tuu.kuwa jadili watu hakutabadili kitu.
  5. Kajoboy

    Wasifu wa Agnes Marwa, Mbunge wa CCM aliyekataa Bunge Live

    Ebu tuache mambo yakipuuzi bas.wewe unaedhani CV yako itakutimizia ndoto zako.kaa usubiri sasahivi ukiritimba kila kona.sisi tunaojifanya tunama CV ya kukata kwa shoka ndo ambao tunaishia kuajiriwa na wasio na CV.tupige kazi tuu wakubwa.maisha niujanja ujanja tuu,sasahvi.Mimi kiukweli na mpa...
  6. Kajoboy

    Nimeumbwa niwe single?

    Kwa ushauri wangu wabure.bado una mda kijana,kwa umri huo fight for life kwanza.ukifika 27 au 28 hv ndo anza kufikiria kuoa.lasivyo ukipaparika kwa sasa utaishia kuteseka kisaikolojia na Wenda wakakuharibia maisha yako kabisa.
Back
Top Bottom