Recent content by Kajeri wa Kajeri

  1. Kajeri wa Kajeri

    Hotel ya bei ndogo Arusha

    Hahaaaa...mkuu...nlidhani hamjui mnachokifanya...haya bhana...endeleeni...kula kile roho inapenda
  2. Kajeri wa Kajeri

    Hotel ya bei ndogo Arusha

    Nadhani MZIBHAZI umeshafanya maamuzi manake ushauri ni mwingi sana na wa kutosha... kwa nini wadau (mnaoendelea kuchangia hadi leo) msianzishe uzi mwingine wenye KICHWA CHA HABARI kinachoendana na uchangiaji wenu? Ishu inayoletwa humu kwa uelewa wangu inatakiwa iguse watu zaidi ya wawili na...
  3. Kajeri wa Kajeri

    Mtoa rushwa yuko mtaani, mpokea rushwa kapandishwa kizimbani

    Nakuunga mkono mkuu...unapotukana badala ya kufafanua na kuboresha uzi ili jamii ieleweke unaonekana wewe ndio mkurupukaji au una uhusiano wa karibu na waliotajwa manake umeonyesha hasira za waziwazi. Hebu kwa mwaka huu tumieni hoja zaidi kuliko matusi...mtaheshimika. vinginevyo huwezi kuonekana...
  4. Kajeri wa Kajeri

    Msaada: Ushuru wa Toyota volts

    Ukitaka msaada wa aina hii weka bei ya gari na ukubwa injini ya gari yaani kama ni 1500CC, 2000cc au 2500cc. Hapo wadau wataalam watakusaidia
  5. Kajeri wa Kajeri

    Hotel ya bei ndogo Arusha

    Kibu langu lilizingatia specs ulizotoa...yeah...Wanatoa risiti mkuu
  6. Kajeri wa Kajeri

    Hotel ya bei ndogo Arusha

    Kwa kuanzia...kaangalie Mick Rest House. Ipo karibu stendi ya Dar Express na pia karibu na msikiti Masjid Kuba. Bei 25000 na 30000.
  7. Kajeri wa Kajeri

    Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi ni lazima sii hiyari, tudai vyote

    Ninavyofahamu mimi ni kwamba kama katiba pendwa kezwa haitapita basi yatafanywa marekebisho katika ibara muhimu ikiwemo muundo wa Tume ya Uchaguzi...sijui watarekebisha nini ila walisema itaendana na matakwa ya wananchi...labda wadau wenye uweledi na masuala haya watujulishe kwanza tujue TUME...
  8. Kajeri wa Kajeri

    Nyota ya Naibu katibu mkuu wa CHADEMA Zanzibar Salimu Mwalimu yang'ara

    Inawezekana una mnadi ndugu yako...sasa ukitaka support ili "mtoke" muelezee watu wenye akili wamtambue!
  9. Kajeri wa Kajeri

    Upinzani upange safu yake ya IT

    Mkuu unatakiwa uwe na uweledi wa unachokiandika...nani kakwambia BVR itatumika kupiga kura? ???
  10. Kajeri wa Kajeri

    Naomba kujuzwa makumbusho ya taifa ilipo

    Makumbusho ya Taifa ipo moja tu...panda gari mpaka posta, ukifika hapo uliza chuo cha IFM kilipo...makumbusho ya Taifa ipo opposite na IFM
  11. Kajeri wa Kajeri

    RPC wa Mkoa wa Simiyu aamrisha Mkurugenzi wa Meatu kumtangaza mgombea wa CHADEMA mshindi

    Asante sana@mama mdogo...huyu afande Mkumbo naona atawakumba wengi sana wenye mwelekeo wa kifisadi
  12. Kajeri wa Kajeri

    RPC wa Mkoa wa Simiyu aamrisha Mkurugenzi wa Meatu kumtangaza mgombea wa CHADEMA mshindi

    Safi sana...wadau mtujuze jina la huyu RPC tumfahamu...kwani ni mfano wa kuigwa!
  13. Kajeri wa Kajeri

    Usikose Kanisani Kwa Kakobe Leo Kuna neno la Uzima!!

    Huyu ask. Kakobe naona kama 'NGUVU' zimemuishia...hana mvuto kiimani km zamani nadhani ni baada ya kuanza kupigia debe viongozi wa kisiasa!
  14. Kajeri wa Kajeri

    Elizabeth Lauten amejiuzulu, profesa Tibaijuka unangoja nini?

    Huyo Elizabeth ni nani na alijiuzuru wadhifa gani...isijekuwa alikuwa hs-keeper...hivyo hakuwa na kubwa la kupoteza !!!
  15. Kajeri wa Kajeri

    Kufuatia Umuhimu Kwa Maslahi ya Taifa, Angalia Marudio ya Bunge la Jana, Saa 6:00 Hii, ITV!.

    Mbezi Luis hakuna umeme tangu saa 6 mch....kazi kweli kweli! ITV Wamejitahidi kwa kiwango chao
Back
Top Bottom