mkuu mi nahitaji ila naomba kwanza unifafanulie faida ya kutumia max malipo na hasara zake zinaweza tokea vipi.na nitatakiwa kuweka shilingi ngapi ili kuanza biashara.my contact 0768758877
kweli@huyu mama atulie nyumbani,asilete kihelehele,mi ni mwana chadema lakini ananikera! Naomba achukue mfano wa mama maria nyerere.mama tunakuheshimu,ila sasa itafika mahali tutakupa makavu live! Wewe ni mama wa Rais wetu tulia nyumbani uwe na hekima na busara utatunza heshima yako,mumeo na...
Askofu kakobe,hana kosa yeye amteuliwa na Mungu kufundisha haki na kuitetea.nyie mnaompinga hamjui hata historia za mitume na manabii walio kuwa wanaharakati.tatizo ccm imeisha wapumbaza sana! Watumishi wa mungu kabisa ya kuonyesha njia sahihi kwa jamii zao ktk nyanja zote,kijamii,kiroho,kisiasa...
Hapa ni wenye viwanda na wafanya biashara wakubwa,wamewapa kitu kidogo ili watuenezee uongo,ili wajasiria mali wadogo bidhaa yao isinunuliwe.wazushi tu hawana lolote!lakini ndo serikali ya magamba ilivyo ni kukandamiza mtu wa chini asitoke.
pamoja sana waungwana,mi pia nimefanikiwa kukusanya kamtaji kidogo baada ya ajira ya miaka 5 niko kagera- muleba nahitaji mtu wa kushirikiana naye ktk kuanzisha mradi au biashara.naomba ushauri wenu na ushirika wa pamoja.
Safi sana,tupo pamoja nanyi,Mwenyezi mungu atatutangulia hadi haki za watanganyika na wazanzibar zipatikane. Mwisho wa magamba umetimia,wamebakia na maonyesho ya wachina majukwaani.
Nashukuru mkuu,mi nipo wilaya ya Muleba.ninaishi tarafa ya nshamba kuna population kubwa na waweza kuhamasishwa kutumia gas.mtaji huo naweza kuupata naomba ushauri nifanyeje kuweza kuwa wakala wenu.chumba cha biashara ninacho.japo kwa huku inaweza kuwa biashara mpya kwa walio wengi, hivyo...
Lissu anastahili hiyo heshima@maana kaonyesha utetezi wa kweli kwa ajili ya watanzania na tumepata kuelewa mambo mengi ya kisheria na haki kupitia kwake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.