teteh,deodatus kamala alipowambia mle nyani mkachukia,poleni sana! bora muendelee na huyo airhostess au barmade wa airtanzania maana hamtawezana na wasema kweli
ni house boy wa Nape mtoto wa merehemu moses nnauye, huyo baba alikuwa mwanaminifu na sio mchumia tumbo kama mwanae,ngoja iko siku atajutia maana bila shaka raisi ajaye hatakuwa upande wake
Hii ni copy paste kaongeza hayo ya mwisho nadhani muhongo ndo kamtuma wasemavyo wengi tarehe 30 desemba 2014 nilijua rasmi muhongo ni poor ktka mawasiliano pale alipokuwa anajibuwananchi,tafuta tbc muhutasari habari saa saba au saa kumi tarehe tajwa alikuwa serengeti kama sikosei
mwenye kipato cha...ni balozi Ami mpungwe aliyewekeza huko mererani,yeye kama diplomat alifaidika na matunda ya kujiconnect na makaburu then pinda kama kawa alimtumia kufund raise uchangiaji wa madawati kupitia wakili tajiri asiejinadi kupitia makesi kama mkono mama majaari,teh teh kuna makatibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.