Recent content by KAHE2

  1. K

    Naomba msaada wa kufika Shule ya Msingi Nbaro Maabaro! Nimepangiwa kazi huko

    Mkuu utaratibu ni kuripot kwa mkurugenz ama afisa elimu wa wilaya, sasa mm nahitaji kujua ofisi zao ziko siha sehemu gan?
  2. K

    Naomba msaada wa kufika Shule ya Msingi Nbaro Maabaro! Nimepangiwa kazi huko

    Habari za jumapili wana jamvi. Naomba msaada wa maelekezo ya kuweza kufika ofisi ya Mkurugenzi wa wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro, nimepangiwa kazi wa ualimu wa msingi katika shule ya msingi NBARO MAABARO. yeyote anayeifaham hiyo shule ama ofisi za wilaya hiyo Nashukuru
  3. K

    Huu ugonjwa kwenye pilipili hoho unazuiwa na kutibiwaje?

    Mkuu asante sana kwa elimu nzuri sana.. tafadhali naomba nisaidie hoho zangu zinatoa maua vizuri tu baada ya cku 2 au 3 yananyauka, nimeleta bwana shamba kaniambia n ukungu, nipige theovit, na super gro, na abamectim. lkn ndugu tatizo bado pale pale.. nisaidie nifanyaje?
  4. K

    Nahitaji watoto wa nguruwe

    Wadau, nahitaji watoto wa nguruwe mbegu nzuri ya mda mfupi, wapi naweza kuwapata kwa hapa Dar?
  5. K

    Msaada kilimo cha hoho

    Habari, ndugu mimi ni mgeni kbs ktk kilimo ila sasa nimeamua kulima hasa pilipili hoho, naombeni eleimu ya zao hilo, Ahsanteeni.
  6. K

    Kuroiler Breeds

    wakuu habari za mda huu. mwenye vifaranga ama fertilized egg wa kuroiler kwa moshi, nahitaji.
  7. K

    Biashara ya Uchawi Tanzania

    wachawi ndo waleta matatizo. je ni mikoa gani kuna vinara wa kutoa uchawi??
  8. K

    Biashara ya Uchawi Tanzania

    kwa kweli kuna kaukwel apo mm kuna kimono kmoja moshi vijijin nilifika yaan story za apo n uchawi tu. na mtu akianza kufanikiwa tu kimaisha anarogwa, mara mg'ombe, mazao yaan wachawi hapana.
Back
Top Bottom