Nami nimekumbuka MOROGORO magorofani/kota za reli fungafunga, uwanja wa MIEMBENI karibu na RAILWAY CLUB (uwanja ulikuwa wa kampeni na kila shughuli. Watoto tunakipiga pale uwanjani na hata wenzetu wa KICHANGANI na MJI MPYA walikua wanakuja kukichafu. ONE LOVE.
Pia nakumbuka kulikua na kama...
Yaani kwa maelezo yako ADC ndio mkuu wa itifaki ya rais?
Pia unataka kusema(ulivyoeleza) ADC ni mkuu wa kaidara fulani pale pembeni ya mlango wa rais yuko na wasaidizi wake yani(ofisi)
Tuache..
H/W, angalia maBALOZI wengi wa marekani ni 'Eiza' walishahudumu kama wanajeshi kwenye mission 'maalum', ama katika NS Agency yoyote nchini mwao...
NB: wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.