Kwa walimu wa shule za msingi zinazotoa huduma kwa lugha ya kiingereza na shule za sekondari.
Tunatoa maazimio ya kazi kwa masomo yote. Ni maazimi (schemes of work) zilizoandaliwa tayari, wewe utafanya kazi ya kujaza kwenye teaching/learning materials na kwenye remarks peke yake. Tuwasiliani...
Bukwabi hujamalizia huyo jamaa alikuwa anaitwa Amani Nzugile Jidula Mabambasi. No marehemu kwa sasa, aliwahi kugombea ubunge kupitia tiketi ya CUF jimbo la Maswa
Kaka mi sioni ajabu kwa mtu wa shahada kutojua kuongea kiingereza. Mi mwenyewe ni mwalimu ila mpaka nahitimu nilikuwa sijui kuongea kiingereza. Ukifanya yafuatayo, yatakusaidia maana na mimi yalinisaidia sana:- Ongea kiingereza na watu wanaokijua mara kwa mara huku ukiwaruhusu wakukosoe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.