Recent content by kagoshima

  1. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Picha: Abdul (mtoto wa Samia) yupo Moscow. Kaenda kwa shughuli gani? Kama nani?

    Ule uongoz ni wa familia
  2. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Bilioni 50 kujenga km 2 za Barabara. Kristo uturehemu

    Ndo maana tunawashangaa watanganyika wenzetu wanaowasaidia kututeka na kwenda kutuua
  3. kagoshima

    JamiiForums Tanzania CCM yakana Polisi kuingilia Siasa na wao kupewa upendeleo na Polisi

    Kwaiyo polis wanajipendekeza. Halafu ccm kama wamedata, wamevurugwa wanaropoka ropoka tu
  4. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Hizi mbinu za Kuficha Bunduki, zinaisaidia CCM au zinaiangamiza? Nani yupo nyumba ya huu mchezo?

    Imekosewa . Muandaaji ni mjinga
  5. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Kama Mwigulu asingesoma na kuwa mwanasiasa angukua tapeli

    . Huyu bwana haoni haya kudanganya. Anaropoka chochote anashusha hadhi ya waziri mkuu hizo cheap propaganda amwachie kihongosi
  6. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Kwa hiyo one can say with certainty ni akina nani walimkata mtu kichwa

    Ccm =chama cha matekaji
  7. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Kwa hiyo one can say with certainty ni akina nani walimkata mtu kichwa

    Eti huyo msimpeleke polis mleteni kwangu. Walikua wanaenda kumkatq kichwa
  8. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Muswada wa bunge la Marekani dhidi ya Tanzania: Vita imetangazwa rasmi

    Baada ya kuondolewa vikwazo na wababe
  9. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Muswada wa bunge la Marekani dhidi ya Tanzania: Vita imetangazwa rasmi

    Huyu China mbona alishindwa kumsaidia Zimbabwe?
  10. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Muswada wa bunge la Marekani dhidi ya Tanzania: Vita imetangazwa rasmi

    Lakini yote haya si yanasababishwa na chama chakavu la CCM? Unauaje maelfu ya wananchi kisa hutaki watimize takwa lao la kikatiba kuchagua viongozi wanaowataka. Vilio kila kona ya inchi waume kuuliwa wake ,wake kuuliwa waume, watoto kuachwa yatima, viongozi wa dini kutekwa au kushambuliwa...
  11. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Msajili wa vyama aiandikia barua CCM kuhusu kauli ya Chatanda

    Mimi nafikiri wavifute vyote
  12. kagoshima

    JamiiForums Tanzania KENYA: Taifa ambalo Wananchi ndio Mamlaka ya mwisho, si Viongozi

    Huku inchi ni mali ya kikwete Huku inchi ni mali ya genge dogo likiwakirishwa na kikwete, rostam azizi, samia na familia zao, huku vyombo vya dola vikilambishwa peremende kidogo kutoa support
  13. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Kofia(boshori) zibauso achia macho zinazoanza kushamiri mitaani sio nzuri kiusalama

    Bila picha story haina mashiko
Back
Top Bottom