Recent content by kagoshima

  1. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Katibu Baraza la Wazee CHADEMA: Tulipanga kuandamana ili Heche atupishe, Msajili ingilia kati

    Hawaelewi tu kwamba hiyo mission imefeli?
  2. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Serikali fungeni barabara ya Kibiti, Lindi hadi Mtwara kwaajili ya usalama wa watu

    Sasa zile tilion 51 alizokopa SSH kwenye utawala wake zimefanya kazi gani. Kila sehemu barabara ni mbove
  3. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Polisi waruhusu Mikutano ya hadhara.. Je, wamemgeuka Katambi?

    Kwa matukio yote yanayoendelea knchini . Utagundua inchi inajiendea bira hata utaratibu.
  4. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Ruhusa ya mikutano ni mtego kwa CHADEMA

    Inchi imeparanganyika. Haijulikani nani hasa anaoongoza
  5. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Ni lini Heche atajiuzulu kupisha uchunguzi?

    Acha ujinga Babu. Changia tone tone chama kimeporwa ruzuku na msajili
  6. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Top layer leaders wanaomiliki kadi za CCM huko vyombo vya ulinzi na usalama ndio watesi wetu

    -Hao wanaomiliki kadi za ccm huko vyombo vya usalama na ulinzi hao ndio wamejifanya kuwa chama cha mapinduzi -hao ndio wanapigana kufa na kupona ccm iendelee ku exist -wengi wao ni wanachama na kadi wanazo -hao ndio wana waandama washindani wa ccm na wakosoaji
  7. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Nani hataki Katiba Mpya katika hawa watawala. Uchambuzi makini huu hapa. Nani ni mnafiki

    Wakilazimisha twende na hiyo katiba ya kikoloni 2030 kitawaka tena
  8. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Maajabu: Mwaipopo kajitangaza wazi anamiliki vikundi vya kigaidi bila kuhojiwa. Wakati huo polisi wakibambikia vyama shi kesi za ugaidi

    Openly, kwenye media, bila uoga, Mwaipopo kajitangaza kwamba anamiliki vikundi vya kigaidi vyenye mafunzo ya hali ya juu, akivionyesha kwenye camera. Polis hawakuchukua hatua yoyote. Badala yake polis wako bize kubambika kesi za ugaidi kwa wakosoaji wa ccm na utendaji mbovu wa serikali iliyoko...
  9. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Haya ndiyo matunda ya kumsikiliza Maria Sarungi na wenzake, haya ndiyo matokeo ya kufuata kazi za shetani

    Hata hii serikali ya waovu itapita na historia yake itabaki hivyo. Kulikua na serikali ya waovu, wauwaji, watekaji, wafiraji, wabambikia kesi.
  10. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Mchengerwa: Ipo siku Watanzania mtamkumbuka Rais Samia

    Nikweli tutamkumbuka kwa utekaji na mauwaji
  11. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Mchengerwa: Ipo siku Watanzania mtamkumbuka Rais Samia

    Nabamkwe na mkwewee!
  12. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Naona mnateseka usiku na mchana
  13. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Inasikitisha sana, yaani wanahamasisha Vijana watoe pesa walizonazo wawapatie pesa wao waweke mifukoni mwao

    Kwa jinsi anavyojitoa ufahamu, yawezekana huyu bwana anatumia cha Arusha . Sasa michango inayochangwa na wananchi kwa chadema yeye inamhusu nini?
  14. kagoshima

    JamiiForums Tanzania SI KWELI IMF Withdraws Statement on $443.9 Million Disbursement to Tanzania

    Sisi sio chadema
  15. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Chama cha NLD chaionya CHADEMA, Chamshauri Msajili wa vyama kutosita kuchukua hatua ikibidi akifunge au kipigwe faini

    Nikama tu ile ofisi ya msajili wa vyama. Iko pale kukandamiza upinzani na kusaidie ccm isianguke
Back
Top Bottom