Lakini yote haya si yanasababishwa na chama chakavu la CCM? Unauaje maelfu ya wananchi kisa hutaki watimize takwa lao la kikatiba kuchagua viongozi wanaowataka.
Vilio kila kona ya inchi waume kuuliwa wake ,wake kuuliwa waume, watoto kuachwa yatima, viongozi wa dini kutekwa au kushambuliwa...
Huku inchi ni mali ya kikwete
Huku inchi ni mali ya genge dogo likiwakirishwa na kikwete, rostam azizi, samia na familia zao, huku vyombo vya dola vikilambishwa peremende kidogo kutoa support
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.