Recent content by kagoshima

  1. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Hivi zile sinema za matamko ya uwizi wa tone tone yameishia wapi?

    -hii inchi inavituko sana na concentration ipo kwenye mambo yasiyo na tija kwa inchi. - makelele ya watu probably walioandaliwa toka huku na kule ati hevhe amekula michango ya tone tone yametoweka ghafla.. -Hii ni indicator kwamba; either ochestra wa haya yote anaupeo mdogo sana au CDM...
  2. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Barabara zote ni za serikali, polisi wanaweza kukuzuia kuweka gari lako barabarani!

    Maswali mawili kuntu. 1. Hizo barabara zimejengwa kwa kodi za nani? 2. Hizo barabara zimejengwa kwa ajili ya nini?
  3. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Hakuna cha ajabu Samia kupigiwa magoti na wanaume.

    Huku kwetu usukumani wamama ndo hupigia magot wanaume
  4. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Hakuna cha ajabu Samia kupigiwa magoti na wanaume.

    Vipi Chivayo naye kapiga magot??
  5. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Mpango wa kutumia SUMA JKT kandasasi za ujenzi uliishia wapi?

    Tukiwaambia CCM ndo kikwazo cha maendeleo ya inchi hii muwe mnaelewa. Na tatizo kubwa ni rushwa wanazopata kwa kuwapa tenda wachina hata kujenga jengo tu. Kama SUMA jkt walijenga ikulu na majengo mengi ya umma kwa viwango bora kabisa na garama ndogo, kwanini baada ya kifo cha magufuli tenda za...
  6. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Nimekataa kurudiana naye, sasa anataka kuvujisha picha mtandaoni alizonipiga kwa Siri. Sijui Nifanyaje?

    Kwaiyo tutaona mkizagamuana kule xxporn tz ?
  7. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Daktari Bingwa wa Mloganzila, Conrad Agonza, anayedaiwa kumshambulia Trafiki afikishwa Mahakamani, 10/09/2026

    So what. Kwani kunawangapi wako huko kwa makosa ya kusingiziwa. Chamhimu kamrekebisha adabu bwana afande. Bora uende jela kwa kugawa kipigo kwa hawa wendawazimu kuliko kesi ya kumpa mimba mwanafunzi
  8. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Trafiki atembezewa kichapo na Mwananchi Mwenge, Mwanajeshi aingilia Kati. Sasa itakuaje?

    Wataenda kumchangia huko mahabusu wampige. Halafu huyo soldier siku nyingine aache kimbelembele
  9. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Ukimya wa familia ya Nchimbi unashangaza

    Watakua blackmailed
  10. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Ni Aidha Katambi ana changamoto ya Afya ya Akili au Obsession au amekosa objective na Mission kwenye Wizara yake

    Nasikia watuhumiwa wa jinai wamepewa hela ya lunch 😂😂
  11. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Vilio vinasikika kila kona ya Tanganyika. Wanawalilia wapendwa wao maana yamkini hawatoonekana tena. Wametekwa na waovu.

    Wengi wa waliotekwa na wanaotekwa ni vijana wa umri tofauti walioowa na ambao hawajaoa. Kwenye serikali ya awamu hii, vilio vinasikika kila kona ya Tanganyanyika kwasababu zisizoeleweka watu wanachuuuliwa kama mwewe anavyonyakua vifaranga vya kuku. Hakuna wakuwasemea wala kuwatetea. Imefika...
  12. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba ni mwanaCCM hai?

    Hata wakati wa Magufuli huyu mzee.alikua anaongea Boss
  13. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba ni mwanaCCM hai?

    Mtafukuza kila brain na kubaki na elimu mbalimbali😂
  14. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rais Samia habinafsishi wala kuuza bandari ya Zanzibar na Uwanja wa ndege wa Zanzibar?

    Kule ni inchi nyingine huru boss. Huu myngano ni wa kipumbavu
  15. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wazanzibar hawatekwi na kupotezwa?

    Lakini kwenye hili tulaumiane wenyewe maana watanganyika ni part ya hivyo vikosi vya kuteka na kuua watanganyika wenzao
Back
Top Bottom