-hii inchi inavituko sana na concentration ipo kwenye mambo yasiyo na tija kwa inchi.
- makelele ya watu probably walioandaliwa toka huku na kule ati hevhe amekula michango ya tone tone yametoweka ghafla..
-Hii ni indicator kwamba; either ochestra wa haya yote anaupeo mdogo sana au CDM...
Tukiwaambia CCM ndo kikwazo cha maendeleo ya inchi hii muwe mnaelewa. Na tatizo kubwa ni rushwa wanazopata kwa kuwapa tenda wachina hata kujenga jengo tu.
Kama SUMA jkt walijenga ikulu na majengo mengi ya umma kwa viwango bora kabisa na garama ndogo, kwanini baada ya kifo cha magufuli tenda za...
So what. Kwani kunawangapi wako huko kwa makosa ya kusingiziwa. Chamhimu kamrekebisha adabu bwana afande. Bora uende jela kwa kugawa kipigo kwa hawa wendawazimu kuliko kesi ya kumpa mimba mwanafunzi
Wengi wa waliotekwa na wanaotekwa ni vijana wa umri tofauti walioowa na ambao hawajaoa.
Kwenye serikali ya awamu hii, vilio vinasikika kila kona ya Tanganyanyika kwasababu zisizoeleweka watu wanachuuuliwa kama mwewe anavyonyakua vifaranga vya kuku. Hakuna wakuwasemea wala kuwatetea. Imefika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.