CCM hawajali lolote zaidi ya madaraka. Wako tayari Tanzania itumbukie mfano wa Zimbabwe ila wao wabaki madarakani. Na sasa si wao tu. Wao na familia zao. Nikama wanafanya makusudi kutukomoa
-Aonaye haambiwi tazama. Baada ya wenzao kudakwa Kenya nikama kikosi cha watekaji na wauwaji wa watanganyika kipo likizo kidogo.
Je hii inaashiria nini?
Je nikwamba wamegundua project imeanza ku backfire?
-Je malipo hamna?
-Project imeisha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.