Recent content by kagoshima

  1. kagoshima

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Ndo maana wanatuua tukiandamana
  2. kagoshima

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Kwani tatizo wapi yanapo uana yenyewe kwa yenyewe ? Japo Lukuvi alikua mwanasiasa asiye na makuu
  3. kagoshima

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Ile ni. Moja ya miradi mingi ya upigaji inayoanzishwa na wanasiasa wa ccm
  4. kagoshima

    Sugu: CCM sasa hivi hawatawali nchi, inatawaliwa na Dola. Huenda CCM wamenyang'anywa jukumu la kufanya Siasa

    Hilo liko wazi kabisa. Hata bila kusemwa na Sugu. Top layers kule polis, tiss na jeshi ndo wanaotawala na kula mema ya inchi
  5. kagoshima

    Tibaijuka, umekosa haya? Mahakama ni chombo huru na muhimu, omba kadi ya CHADEMA lakini sio kuhamasisha vurugu

    Mahakama inayongozwa kwa vimemo kutoka juu ! Alisikika Tajiri rostam azizi akilalamika.
  6. kagoshima

    Baada ya Mabakuli kurudi kapa; Serikali kuja na mpango wa kuongeza kodi

    CCM hawajali lolote zaidi ya madaraka. Wako tayari Tanzania itumbukie mfano wa Zimbabwe ila wao wabaki madarakani. Na sasa si wao tu. Wao na familia zao. Nikama wanafanya makusudi kutukomoa
  7. kagoshima

    Nikama baada ya kudakwa kule Kenya watekaji wamekula pozi kidogo

    -Aonaye haambiwi tazama. Baada ya wenzao kudakwa Kenya nikama kikosi cha watekaji na wauwaji wa watanganyika kipo likizo kidogo. Je hii inaashiria nini? Je nikwamba wamegundua project imeanza ku backfire? -Je malipo hamna? -Project imeisha?
  8. kagoshima

    Wakiristo watapata shida kwa waislamu

    Nikweli pia kwamba vitani mnaogopa kuuawa na askari mwanamke ?
  9. kagoshima

    Utekaji Tanganyika! Kumepoa kidogo au!?

    Labda wapo kimataifa zaidi maana majuzi wamedakwa kenya
Back
Top Bottom